Hata wasemeje hapa.mwendo mdundo tu Lowassa ndio Rais tunaemtambua hizo Tathmini zao za uongo na kweli wazipeleke kule huku tumejipanga kura yangu ni Lowassa tu sitetereki hata kidogo
Mungu yupo nasi mpaka kitaeleweka tu mpaka sasa wanatakiwa wajitaarishe kubeba virago vyao waondoka wataalamu waingie ikulu✌✌✌✌✌✌✌
Baada ya kushindwa kumueka anayekubalika na wananchi.wameamua kumuweka ambae hawakumtarajia kabisaaa 😃😃😃😃😃Kweli bao la mkono tumelionaaaaa,lkn bora tumekosa wote wapi Membe kuleeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.