Hivi hawa maadui wengi wanaotuzunguka ni kina nani? Toka Nikiwa mdogo nasikia tu maadui wengi wametuzunguka kila Kona ila cha ajabu hao maadui zetu wapo busy kujenga nchi zao.
Kuwa na heshima Kijana. Mzee Kinana sio wa kumfananisha na Mwalimu wa Chuo. Mzee Kinana ni mwanasiasa nguli barani Afrika. Amesimamia chaguzi zilizowaweka madarakani Hayati Mkapa, Mzee Kikwete na Mzee Magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.