Recent content by mulaki

  1. mulaki

    Je, manii/shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

    Mpenzi usiuige ubaya Bali wema je hautosheki na njia sahihi aliyokupa Mungu huu ni uchafu na hata kupata fungal infection ktk mdomo na nk
  2. mulaki

    Ngome ya CCM ni ipi hasa?

    Tuwape pole wakati umefika na kushindana nao ni kupoteza muda wamkumbuke kakobe tu waraka wake
  3. mulaki

    Chopa nyingine ya CCM

    Kuna nini ccm na chopa zao
  4. mulaki

    Kweli ajira ni tatizo kubwa!!

    Today is today tomorrow talk itself walikuwa wanafanya shughuli gani kabla ya hapo hii ni fursa bwana
  5. mulaki

    GE2015 Hatukai mita 200 kufanya vurugu Bali tunakaa mita mia mbili kuzuia

    Tii sheria bila shuruti hii ni muhimu lkn uwazi katika zoezi hili ni muhimu
  6. mulaki

    Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa CHADEMA

    Ukapimwe nini waliopimwa wamefanya vituko hivyo vipimo havihitajiki mabadiliko muhimu sana
  7. mulaki

    Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa CHADEMA

    Ni lazima kuitumia silaha inayolingangana na kuzidi nguvu ya adui vinginevyo ni kushindwa
  8. mulaki

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Unachoongea kinakujulisha wewe ni nani hivyo sishangai naomba kujua jinsia yako kama ni he or she eti kakobe tapeli njoo wewe uliyetapeliwa tukuone na utuhakikishie na ushaidi uwe nao vinginevyo ni udaku huo ndio nataka kufahamu jinsia yako ili nikuache ulivyo nature can not change
  9. mulaki

    Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi Kisutu

    Alipoungana alienda mahakamani au anatuchanganya?
  10. mulaki

    UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

    Pole Mkuu. Jitahidi ili time and changes are simultaneous sio rahisi kurudi nyuma tena
Back
Top Bottom