Kwa kazi alizozifanya kwa kipindi kifupi hiki kwenye uongozi wake umedhihirisha wazi kuwa ni kiongozi mwenye kipawa Cha hali ya juu Sana, hekima, uchaji Mungu, upendo,, vyote na vingine vingi vimesheheni katika maisha yake ya uongozi.
Kwa hili la kuwaunganisha watanzania na kuonyesha wazi kuwa...