Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 157
- 203
Hayati John Pombe katika utawala wake alihakikisha kuwa mabaki ya viongozi wote alio waacha Rais mtaafu Jakaya wote ana wafutilia mbali kwenye utawala wake.
Na hili alifanya huku akiamini kuwa ile ilikuwa Safu ya wapiga dili, mbali na Hilo alitumia mbinu nyingi kuwaaminisha wa tz kuwa hao watangulizi wake kwa muda wote waliokaa madarakani hawafanya ipasavyo na ndo maana alifika Mahali akasema Kuna watu wamesha staafu lakini bado Wana washwa washwa , hii ilikuwa kauli mbaya kupatwa kunenwa na kiongozi wa nchi, na huwenda ili sababishwa na ulevi wa madaraka tu.
Sasa matokeo ya mbegu aliyo ipanda ndio hii tunayo iona kwa wanaoshindwa hata kujizuia kwa jificha tabia zao za chuki.
Alianza Gwajima na genge lake kumpinga Rais kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa hatari Corona Tena unaosumbua dunia, akaja Polepole naye akaenda mbali na kuona kuwa Rais Samia hajui uongozi ,hivyo akaanzisha kipindi Cha shule ya uongozi, huyu kijana hafai na ni simu ya hatari kwa Taifa letu.
La ajabu ameibuka kiongozi mkuu Tena wa muhimili unaoheshimika kabisa, yeye ameshindwa kujizuia na kuropoka Mambo ambayo hayafai kusemwa na kiongozi wa aina yake.
Hawa wako wengi , Jambo la msingi ni Rais kufutilia mbali hiki kizazi cha Hayati John, NI watu hatari kwa oungozi wake, Wala wahawata muacha afanye kazi kwa amani.
Kila Zama na kitabu chake.
Rais wetu mpendwa andaa kitabu Chako tukisome, Wala usiwaonee haya hao wasiotaka kujistahi . TIMUA WOTE ILI UBAKI NA AMANI. ( Tumia vyombo vyako uwabaini wasio endana na Kasi yako.).
Na hili alifanya huku akiamini kuwa ile ilikuwa Safu ya wapiga dili, mbali na Hilo alitumia mbinu nyingi kuwaaminisha wa tz kuwa hao watangulizi wake kwa muda wote waliokaa madarakani hawafanya ipasavyo na ndo maana alifika Mahali akasema Kuna watu wamesha staafu lakini bado Wana washwa washwa , hii ilikuwa kauli mbaya kupatwa kunenwa na kiongozi wa nchi, na huwenda ili sababishwa na ulevi wa madaraka tu.
Sasa matokeo ya mbegu aliyo ipanda ndio hii tunayo iona kwa wanaoshindwa hata kujizuia kwa jificha tabia zao za chuki.
Alianza Gwajima na genge lake kumpinga Rais kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa hatari Corona Tena unaosumbua dunia, akaja Polepole naye akaenda mbali na kuona kuwa Rais Samia hajui uongozi ,hivyo akaanzisha kipindi Cha shule ya uongozi, huyu kijana hafai na ni simu ya hatari kwa Taifa letu.
La ajabu ameibuka kiongozi mkuu Tena wa muhimili unaoheshimika kabisa, yeye ameshindwa kujizuia na kuropoka Mambo ambayo hayafai kusemwa na kiongozi wa aina yake.
Hawa wako wengi , Jambo la msingi ni Rais kufutilia mbali hiki kizazi cha Hayati John, NI watu hatari kwa oungozi wake, Wala wahawata muacha afanye kazi kwa amani.
Kila Zama na kitabu chake.
Rais wetu mpendwa andaa kitabu Chako tukisome, Wala usiwaonee haya hao wasiotaka kujistahi . TIMUA WOTE ILI UBAKI NA AMANI. ( Tumia vyombo vyako uwabaini wasio endana na Kasi yako.).