Simba wa Yuda hua hatishiki kwani anajua yaliyopita ya sasa na yajayo. Na hua mwenye ujasiri ndie atakae iongoza nchi hii kwani tumeona hapo nyuma wakina Nyerere, mandela na wengine wengi waliokwisha ongoza nchi za kiafrika walikua ni majasiri kwa kupambana na makaburu na watu ambao walikua...
Kutokana na ujasiri ulioujenga kutanabaisha kati ya mbivu na mbichi Mungu akuepushie mbali majaribu yao.Sasa kwavile umenena vyema ushauri wangu ni huu:
1. Nenda kwenye vyombo vya habari ujiosheshe hadharani kam ITV, STARTV,na EAT
2. Nenda kafungue jalada polisi.
3. Nenda kwenye kituo cha haki...
Mimi napata wawasi sana kuhusu maendeleo ya nchi yangu miaka hii ya karibuni, kipindi cha nyuma nikimaanisha enzi za uongozi wa kwanza hadi wa tatu, kidogo tulikua tunajivunia kua na viwanda kama; viwanda vya magunia Morogoro, vya kusindika matunda, kiwanda cha tyres Arusha (gerneral tyre in...
Hizi style mnazokuja nazo mara kusaidia watu shambani, kujenga nyumba (kuchanganya udongo) kutembelea miradi. Hayo yote nikuhadaa wananchi , na wenyewe wameshagundua ndio maana wanawauliza maswali magumu mnashidwa kujibu. Mliwaahidi maisha bora yameshindikana sasa mnamangamanga. Maji ukiyavulia...
....CHADEMA ni wavunjifu wa amani ya nchi yetu....
....CHADEMA ni chama cha fujo na cha kigaidi.....
.....CHADEMA ni chama cha wachaga.......
....CHADEMA ni chama kinachohamasisha ukanda, si mnaona wamegawa nchi kwa kanda?.....
.....CHADEMA ni chama cha KIDINI......
.....CHADEMA ni chama chenye...
Kutokana watu wengi wameshajua kati ya cdm na chama cha kulewa madaraka ni kipi kinatetea masilai yao, pia na uelewa wa kuchambua lipi ni kweli na lipi nilauongo. Kwakua tumeona mikutano walizofanya hapa Morogoro kwa watu kusuasua, mkutano unaweza kuwa na watu wachache thereafter utaambiwa watu...
Mimi nakubalina na mtoa hoja hapo juu,kutokana kumeshajulikana wabunge ambao hawapo kwaajili ya kutetea jamii iliyowatuma (especially walioko madarakani). cdm watulie na kufanya waliotumwa na wanachi wao ili wananchi wachambue pumba na mchele. Mbona magamba yamelegea na yanaweweseka kwa kulewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.