Dah naona watu wanamwandama jamaa kuhusu usomaji wa vitabu,Kusoma vitabu inakusaidia kuongeza maarifa ambayo moja kwa moja yanaweza kuchochea kwa namna moja ama nyingine mabadiliko ktk maisha yako kama utaapply maarifa hayo kwa vitendo. Kusoma vitabu kunamfungua mtu kwenye kifungo au changamoto...
Financial rule ilibadilika toka 1970,jifunze kufanya leverage katika uwekezaji wa pesa zako kwa kukuza uwezo wa Financial intelligence na Financial IQ yako..
Kuweka 500 m ili uje upate gawio la asilimia 15 kama faida ya pesa yako huo uwekezaji ni dhaifu na sio sahihi,hii biashara tuwaachie...
Kama kweli hukumkosea mzee hupaswi kunung'unika hata kidogo,ndugu sio wa kuzingatia maisha ya siku hizi hata ukifa ndugu wengine hawatokuja kwenye msiba wako,ishi vema na kuwekeza kwa familia yako na kuwa na mahusiano mama na zengo hao ndo watakua wengi kwenye msiba wako na ndio watakao kushusha...
Uzi uishie hapa,umemaliza kabisa,wahusika wakuu wa shughuli inayomhusu kijana ni pale alipolelewa na kukulia huko kwingine wanatakiwa kupewa taarifa tu. .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.