mzee nyerere alikua mnyonyaji wa wazanzibari tuuuu....katupotezea miaka yetu hamsini bila sababu.. katujaza umasikini na unyonge kwa ulaghai wake.. ndo maana hata jina lake halitajwi kwenye watu... king mandega kajifia haujasikia hata minute moja kiongozi yeyote akimtaja nyerere kama alisaidia...
alipata Zanzibar.. si mlituona mapimbi pale tulipokua tunaanzisha ma mikutano kibao.. mkatuita uamsho.. sasa ona.. kila kona ya nyinyi msojielewa mnazungumza kitu amabacho mmetuwekeandani sisi,,,, uuuuuu .. daima tutaburuza tangala wanyika hilo u diggggggg.......real talk and u know it...
weweupo na akili lakini?kwani jmt ninini.. ni umoja wa kwetu sote ------- wa mawazo wewe.. eti tuliwaachia... chombo hicho unachojifany akukikaliani cha kwetu pamoja akili ndogo wewe.. anzisha nyikayako kwanza
mungu akubarikie hiyo nyika yako.. .. mbona unaogopa kutaja nyikaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,,, unajitia tia tanzania.. sisi zenj chadema hatujui wala hatumjui at the same time unasema cahdema halafu unaweka jina tanzania kumaanisha sisi sote.. tanzania sio nchi.. ni muungano wa nchi mbili.. siddiq...
wewe vipi saa kwani bunge la jamhuri unaona na akina nani.. ndo ushasema la jamhuri means lakwetu sisi zanzibar na tanganyika na sisi zanzibar tupo na lakwetu peke yetu but majnoon nyinyi hamna la kwetu.. mpaka mamabo yenu ya kipekeyenuu sisi bwana zenu ndo tunawasaidia kuwatungia sheria au...
Utumwa huo pimbi wewe.. Unakataa mpaka jina lako u ajipendekeza na na sisi.. Au unapenda hiyo zannnnn huh.... Aibu mtu mzima hiyo wacga kukataa unyika wako huo.. Jina limekaa kimsitu msitu kinoma mpaka mwenyewako unaliogopa..
Sisi wazanzibari tulipodai kura ya maoni mlituita muamsho..mkatuona mapimbi sasa mnaona ukweli sio.. Tulidai sana hili mkakejeli kwa nguvu zote.. Zanzibar kwanza... Pole pole tutafika..
nyinyi wanyika tunawaburuza tuuuu nyinyi.. mpaka kiama henu mkione..akili hamna hata kidogo.. sisi zanzibar tupo kidogoo tunaburuza ma milioni.. na tutaendelea. tulianza kuchange aina ya muungano mkawa mnajichekea now mko tele kwenye hili gurudumu... basi jitayarisheni...tunalotaka sisi ndo hilo...
watanga tanaga na msitu si mlituona mapimbi sisi wazanzibari.. sasa mnayaona na kuyajadili... ndo maana sisi tulibakia na nyinyi mkajitia kitanzi licha ya udogo wetu wa ardhibali sisi tupo na ukubwa wa maarifa na kufikiri. tulianzisha sisi mchakato mkatuona wachizi saa nani yupo nao kwenye...
muungano wa kisawa ni huu hapo chini.. sote kwa pamoja washirika wa muungano tunaongoza jeshi letu.. sote kwa pamoja tunaongoza nchi.. yako wapi leo hii... liliobakia sasa kwa sisi wana wa kizanzibari ni kuendelea kudai cha kwetuna kuwaelimisha tanganyikaz.. mlikua mnatuona machizi but now mpo...
muungano wa kisawa ni huu hapo chini.. sote kwa pamoja washirika wa muungano tunaongoza jeshi letu.. sote kwa pamoja tunaongoza nchi.. yako wapi leo hii... liliobakia sasa kwa sisi wana wa kizanzibari ni kuendelea kudai cha kwetuna kuwaelimisha tanganyikaz.. mlikua mnatuona machizi but now mpo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.