Recent content by mujitahid

  1. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    inawezakana kwa kuwa uzuri n kwa anayeona..si mbaya kujihesabu ila siko maarufu au much knoo..avarage
  2. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    da maongez yake yanasidikisha ndio ila kwa vitendo vyake unaweza kuona hivyo dah..
  3. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    nimefanya uchunguz wa kina sana hili nalikata kwa kuwa mwanzano nlihisi hivyo n th fact was th first
  4. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    mi mwenyele nimezimika sana sio ndugu tu hata majirani wanamjua mm kwao n yy tu ndo anayenijua
  5. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    sio secondary hyku...na gpa zinasoma vema mbona...
  6. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    asante sana..n vitu vingi navikosa na kwa kweli kuna wakati naweka hisia zingine ila anipa moyo na kuangalia mazingira ya livyo kimaadili..tunasubiri mda mchache kuapishwa na alhaji mw...ili tuanze utaratibu wa ndoa ndo nkawa nahitaji udheefu
  7. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    kwa sura hapana n zaidi ya hilo maana mwewnyewe anajivunia..ila tatizo distance hapa
  8. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    dah ninavumilia ila natamani awe rafik na sio mpenzi tu..nakosa hilo
  9. M

    Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

    nina mpenz wangu huu n mwaka wa tano sasa hataki kunitambulisha kwao wala kunizungumzia kwa marafiki zake.na ikitokea tuenda sehemu anataka tukutane huko huko.kibaya zaidi tupo hostel moja kwa miaka yote hiyo kuja chumban n usiku sana au kuonana sehemu za giza tu.hatujawah kula pamoja kantini...
  10. M

    Uhusiano wa Intelijensia na watu kama kina James Bond

    si kama movie inaitwa THE DEBT
Back
Top Bottom