Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

Nampenda lakini hataki tuongozane pamoja

Usijali sana atazoea!we endelea kuhutafuta u dr kwanza!
 
Si upendekeze ndoa kabisa ili awe huru.

Napenda sana msichana wa namna hiyo, ila asitumie kama kinga ya kuwa na mahusiano feki.

mi mwenyele nimezimika sana sio ndugu tu hata majirani wanamjua mm kwao n yy tu ndo anayenijua
 
We sio handsome bwana na mchumba wako ni mburula tu
 
usiwe na haraka..treat her the way she wants. only time will tell.
 
nimefanya uchunguz wa kina sana hili nalikata kwa kuwa mwanzano nlihisi hivyo n th fact was th first

chezea technics za kijambazi wewe, hata mi nafanyaga hivo.......
nikijua mtaa huo kuna kimeo sipiti na mtu hata afanye nini n anikipita hatuongozani!!!!!!!!!
sikuonei wivu ujue....
 
Lets be honest, hapa kuna mambo matatu.
1. Huyo mwanamke anaishi maisha fake, anataka aendelee kuonekana ni mwenye maadili mbele ya watu.

2.Ana mwanaume mwingine ambaye ni bora zaidi yako na ana malengo naye, kwa mantiki hiyo hapendi kuonekana malaya na kuharibu malengo.

3. Huna hadhi ya kuwa naye maana muonekano wako hauna mvuto. Kwa kifupi wewe ni kidumu tu labda unajua vizuri "kugegeda".

Ushauri:
Chapa lapa mapema maana technically you're a zombie!!
 
Mmmh kama angekua na maadili kwa nini kwenye giza na mkiwa peke yenu ndo anakua huru? kama angekua na aibu hata mkiwa peke yenu angeona aibu, nionavyo kuna kitu una fichwa hapa sio bure, tena wanawake tunavyopenda uwazi mie cjamuelewa hata kidogo, inawezekana mko wawili kwenye mizani anapima yupi bora zaidi, miaka 5 hawezi hata kukuintroduce kwa marafiki au ndugu wa mbali???amka usingizini wewe!
 
Lets be honest, hapa kuna mambo matatu.
1. Huyo mwanamke anaishi maisha fake, anataka aendelee kuonekana ni mwenye maadili mbele ya watu.

2.Ana mwanaume mwingine ambaye ni bora zaidi yako na ana malengo naye, kwa mantiki hiyo hapendi kuonekana malaya na kuharibu malengo.

3. Huna hadhi ya kuwa naye maana muonekano wako hauna mvuto. Kwa kifupi wewe ni kidumu tu labda unajua vizuri "kugegeda".

Ushauri:
Chapa lapa mapema maana technically you're a zombie!!

ngoja nichukue PC nije kutoa like zangu hapa,you have said it all and well kazi ni kwake!
 
Najaribu kuelewa
miaka mitano mpo campus moja?

mama yake nae alikuwa campus?
 
nampenda sana lara1,...i love you lara1!!!...lara1 mi amor!!!!!!!
 
How old are u guys ??

Tuanzie hapo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nina mpenz wangu huu n mwaka wa tano sasa hataki kunitambulisha kwao wala kunizungumzia kwa marafiki zake.na ikitokea tuenda sehemu anataka tukutane huko huko.kibaya zaidi tupo hostel moja kwa miaka yote hiyo kuja chumban n usiku sana au kuonana sehemu za giza tu.hatujawah kula pamoja kantini kuongozana au kusogeleana wakati wa mchana hata tukikutana kwenye korido n salamu za kuchekeana..tupo madarsa tofauti na ilishawi kukutana tupo kipindi anadai nisi msogele kwa kuwa hataweza kuongea wala kuelewa kabisa na discousion ndo nsujaribu kwa kuwa akili itamuhama..
mwanzoni alikuwa na sababu kwa kuwa mama yake na yy alikuwa compus moja hivyo akawa anamohofia asionekane ana tabia mbaya..ki ukweli n bint mstaarabu na sio limbukeni au mauuza sura lakini kama kweli ananipenda iwaje aweke distance hivyo na tukiwa wemyewe mafichoni anajiachie hivyo..sisemi anakumbatie au kunibusu hadharani ila awr free kama anavyokuwa kwa watu wengine...je ni aibu au muoga au hanipendi..hajaw kuwa na mahusiono hapo awali m ndo wakwanza.nisaidieni nifanyaje

ukijua kusoma alama za nyakati utapata majibu sahihi bila hatakuleta mada yako jf
 
Back
Top Bottom