kwa tulipofikia sidhani kama kuna uwezekano wa kutatua tatizo kwa sababu watu kuvaa nusu uchi au kuwa uchi kabisa wanachukulia kama ni mtindo wa maisha wakati ni kujifananisha na wanyama (kujidhalilisha) kupunguza au hata kuondoa kabisa thaman yao baada ya kufanya watu wasiwe na ham nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.