Recent content by Muimba SINGELI

  1. Muimba SINGELI

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Mkuu umenitag na huyo mtu ukimaanisha sisi ni watu wa kundi moja!!!
  2. Muimba SINGELI

    Ninaishi na maumivu

    Duh kumbe wewe ni ke kweli!!! Pole mkuu, moyo wako na akili vijae ugumu na ukakamavu wa kuhimili hiyo hali.
  3. Muimba SINGELI

    MKE AMBAYE NI MFANYA KAZI WA BAR.

    Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mke___________Bar Mruhusu tu bro..
  4. Muimba SINGELI

    Kumbe Azizi ki ana kipaji cha kuimba muziki na watu mpo kimya!

    🤣🤣🤣 Hata mimi namwelewa tu bro, sema kwenye muziki aongeze bidii kidogo tu nako atapata dili kubwa.
  5. Muimba SINGELI

    Wazazi wanataka nijichanganye, wanahisi kuna jambo linanitatiza

    Waambie ukweli tu kwamba ukiwa mwenyewe chumbani unapata muda mzuri wa kukwea mnazi.
  6. Muimba SINGELI

    Ukimpata mwenzako msalimie kwa bashasha

    Ukitaka kula nguruwe.............
  7. Muimba SINGELI

    kwenu waraibu wa punyeto, acheni kuvuta hisia kwa kuangalia porn ni bora ujiwaze wewe ni muhusika kuliko mwanaume mwengine

    Acha kuzunguka bro, omba tu ushauri kwamba ni ipi njia nzuri ya kupiga punyeto malijendi wakupe mbinu.
  8. Muimba SINGELI

    Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Shukrani bro, japo katika jamii ni changamoto kuishi hivyo ila nakubali kuonekana ni mwenye dharau na majivuno kwa faida yangu. Kwa mfano umealikwa kikao/mkutano watu wote wanakunywa soda mwenyewe tu ndiyo unakataa, kwenye ma birthday watu wanalishwa keki mwenyewe tu unakataa. Kwa jamii yangu...
  9. Muimba SINGELI

    Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Mkuu mfundishe sasa kwa faida ya wengi, nashukuru nimefanikiwa kujizuia juu ya vinywaji vya viwandani kwa asilimia kubwa, kwa mwaka mzima sifikishi Lita 10 za hivi vinywaji (ukiacha maji)
Back
Top Bottom