Kutekana na Tume wapi na wapi jamani pengine wagombea wenyewe wanahujumiana maana siasa ni mchezo mchafu wanafanya mambo ya hovyo halafu mtu anadhani ni Tume sidhani kama ni sahihi
Sasa hamtaki uchaguzi mzuri zaidi mbeleni! Mnataka uchaguzi uwe vipi sasa maana yeye kasema anataka kuwe na uchaguzi wenye kuaminika hebu tuwape muda Nec wafanye kazi
Ibara ya 74(11) ya katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 1977 katika kutekeleza majukumu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi haitashinikizwa wala kulazimishwa kufuata ushauri wowote wa chama cha siasa au idara au mtu yoyote.
Wagombea wasome katiba ya nchi yetu badala ya kuitisha Tume maana...
Halafu game ni dakika 90 unaacha kucheza mpira unamtisha refa ukifungwa kihalali je utamlaumu refa kuwa hakukupendela gangamala kunadi sera baba badala ya kulialia muda wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni vema wagombea wakaiacha Tume itekeleze majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria bila kuitishia maana kuendelea kuwatishia ni kukiuka katiba na kuondoa uhuru wa Tume ambao muda wote tunataka Tume huru
Mkurugenzi alisisitiza umhimu wa kutunza amani kipindi hiki cha uchaguzi kuwa ni jukumu la wagombea wote sasa kuhamasisha kuvunja amani haiwezi kuwa ajenda ya chama chochote cha siasa na wananchi makini tukabariki tuilinde amani kwa nguvu zote maana hatuna nchi nyingine zaidi ya hii na amani...
Maadili ya uchaguzi yanataka anaelalamika kuhusu mwenendo wa kampeni kupeleka malalamiko katika kamati za Maadili ambazo zinaundwa kwa asilimia kubwa na vyama vya siasa vinavyo shiriki uchaguzi katika ngazi husika sasa kulalamika kwa wananchi hakutoi suluhu yoyote kinachotakiwa ni kupeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.