nyamadoke75
Member
- Apr 1, 2020
- 95
- 288
Mimi Kama mtumishi wa serikali nimekuwa nikiwaletea mwendelezo wa madudu ya Katibu tawala wetu mkoa wa Arusha, Athumani Kihamia ikiwa ni sehemu ya nne ya kuujulisha umma ubabe wa kiongozi huyo kutumia dhamana ya cheo chake ,kukandamiza watumishi wa hususani wa halmashauri ya jiji la Arusha mara baada ya kufanikisha mpango wao wa kumng'oa aliyekuwa mkurugenzi wa jiji ,John Pima.
Kupitia kaimu mkurugenzi wa jiji ambaye inasemekana hana maamuzi yoyote tangia akaimishwe nafasi hiyo zaidi ya kupokea maelezo ya Kihamia, hivi sasa Kihamia amekuwa akimpa maelekezo ya kusimamisha watumishi waliokuwa karibu na dkt John Pima ,ambapo hadi sasa watumishi wanne wamesimamishwa kazi akiwemo Merry Mwita,Zulfa,Peter na Honest ambao walifanya kazi kwa karibu na Dr.Pima kwa madai kuwa walikuwa Chawa wa Mapato.
Hata hivyo kwa ubabe wake Kihamia amewapa madaraka wasambaa wenzake kuwa wakuu wa shule za jiji bila kuwa na vigezo wala uwezo ,akiwemo Shamda Athumani Mkuu wa shule ya Felix mrema,Ndeenengo Paulo mkuu wa shule ya Kalimaji,Anton Piuse mkuu wa shule ya Ngarenaro,Alawi Athumani mkuu wa shule ya Olmoti,Adam Abraham mkuu wa shule ya Ungaltd na Annasa Mgunya wa ungaltd huyu ndio katibu katawala mwenye maamuzi mezani kwakwe.
Ubabe wa kigogo huyo kumepelekea kuwa na msuguano wa chini chini na Mkuu wa mkoa wa Arusha ,John Mongela kwa kupuuza maaelekezo yake mara kwa mara akijidai anasimamia sheria na sio kufuata matamshi ya mdomo jambo ambalo linazidi kuwaweka njia panda wananchi ambao wamemwomba rais Samia suluhu kumwondoa kigogo huyo haraka anayevuruga viongozi wenzake Arusha kwa maslahi yake binafsi.
Kupitia kaimu mkurugenzi wa jiji ambaye inasemekana hana maamuzi yoyote tangia akaimishwe nafasi hiyo zaidi ya kupokea maelezo ya Kihamia, hivi sasa Kihamia amekuwa akimpa maelekezo ya kusimamisha watumishi waliokuwa karibu na dkt John Pima ,ambapo hadi sasa watumishi wanne wamesimamishwa kazi akiwemo Merry Mwita,Zulfa,Peter na Honest ambao walifanya kazi kwa karibu na Dr.Pima kwa madai kuwa walikuwa Chawa wa Mapato.
Hata hivyo kwa ubabe wake Kihamia amewapa madaraka wasambaa wenzake kuwa wakuu wa shule za jiji bila kuwa na vigezo wala uwezo ,akiwemo Shamda Athumani Mkuu wa shule ya Felix mrema,Ndeenengo Paulo mkuu wa shule ya Kalimaji,Anton Piuse mkuu wa shule ya Ngarenaro,Alawi Athumani mkuu wa shule ya Olmoti,Adam Abraham mkuu wa shule ya Ungaltd na Annasa Mgunya wa ungaltd huyu ndio katibu katawala mwenye maamuzi mezani kwakwe.
Ubabe wa kigogo huyo kumepelekea kuwa na msuguano wa chini chini na Mkuu wa mkoa wa Arusha ,John Mongela kwa kupuuza maaelekezo yake mara kwa mara akijidai anasimamia sheria na sio kufuata matamshi ya mdomo jambo ambalo linazidi kuwaweka njia panda wananchi ambao wamemwomba rais Samia suluhu kumwondoa kigogo huyo haraka anayevuruga viongozi wenzake Arusha kwa maslahi yake binafsi.