Recent content by muhungu

  1. M

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Huo uchumi umekuwa kwenye makaratasi au mifukoni mwa watanzania? Mkuu! Hebu basi jaribu kujibu kwa ujenzi wa hoja siyo ushabiki ambao hauna afya sana. Turumbane kwa hoja, na siyo kwa itikadi zetu za kisiasa.
  2. M

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Mkuu! Hivi Mandela namba yake huko kifungoni ilianza na Neno Mfungwa wa Kisiasa Na:......? Pia kwani chanzo cha hilo kosa linalosemekana alilitenda Bwana Sugu lilifanyika katika jukwaa la kisiasa au pahala pengine ambapo hapakuhusiana na mambo ya kisiasa? Halafu mkuu, hivi mtu kweli kama kwa...
  3. M

    Inawezekana Rais hashauriki au hafikishiwi ushauri; Bombadia moja "imekufa" Mwanza, ATCL inajigamba kuleta Dreamliner

    Mkuu! Ni vema kabla hujachangia fuatilia historia ya mtoa mada. Kiufupi huyu siyo mwanasiasa bali ni mtu tunayemtegemea sana katika mambo ya Anga humu Jamie forum, hivyo ukisema hayaoni mema na kumjumuisha kwenye kundi la unaowasema wanafurahia kuharibika kwa Bombardier ni kumkosea heshma...
  4. M

    Mwaka 1915 Wakoloni wa kijerumani na waingereza walipanga Dodoma uwe mji mkuu- Dodoma City Revisited.

    Upo collect au correct? Weka sawa sentensi yako mkuu.
  5. M

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Dah! Asante Mkuu mana awamu hii usipokuwa makini utalishwa matango pori mpaka ukomee. Sasa huyu Waziri alishatupoteza hapo as if hyo ndege ndo mara ya kwanza kutua na kujiona yeye ndo kama facilitator baada ya kupewa hiyo wizara.
  6. M

    Kigwangalla: Dege kubwa la watalii zaidi ya 300 latua uwanja wa KIA, utalii Tanzania wazidi kukua

    Tunasubiri ufafanuzi wako mtaalamu wa Anga. Mana tukipata Abc toka kwako tutakuwa kwenye nafasi ya kuchangia.
  7. M

    Mnaotetea Rais Magufuli kutohudhuria mikutano mikubwa ya kimataifa someni hapa

    Sawa! Ila huo uchumi wa Viwanda unajengwa na serikali au serikali inatengeneza mazingira wezeshi ili sekta binafsi ijenge hivyo viwanda? Jibu kama serikali yenyewe inajenga hivyo viwanda nadhani utakuwa sahihi sana kumwambia mleta mada ana hoja nzuri japo imekuwa na upendeleo. Ila kama Jibu...
  8. M

    Nikiitafsiri hii Kauli ya Kimsemo ya Rais wa Afrika ya Kusini nitakuwa nimekosea?

    Kama kawaida yako, hupepesi bali unachapa tu bila kujali kama huyu ni wa Kefa au ni wa Apolo. Inapendeza kwakweli, mana unafiki kwako ni Mwiko.
  9. M

    Raia Mwema limepigwa ban?

    Cyo kweli!
  10. M

    Kiongozi bora ni yupi basi?

    Ngumu sana kukuelewa, mana hawasomi ulichoandika bali hupepesa macho tu kwenye andiko lako na hukurupuka ku comment. Tuwasamehe tu, mana wao wanajua tu kupepesa macho na kuandika.
  11. M

    Matata na Sarafina wa Mizengwe acheni SIASA ktk uigizaji!

    Ni siasa gani waloifanya ktk Ucheshi wao wa jana? Hapana! Nilifuatilia lile igizo na hakukuwa na siasa yeyote zaidi ya kuleta ujumbe murua kwa jamii hasa kwa wazazi wapendao kuozesha mabinti wangali wadogo na wanaopaswa kuendelea na masomo.
Back
Top Bottom