Kungetolewa tuzo ya Kiongozi Mwanasiasa bora kati ya hawa wawili unadhani yupi angestahili?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,882
Kiongozi Mwanasiasa A

Ambaye tokea mwezi January 2018 pale ambapo Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) walipotoa ‘ tahadhari ‘ ya ujio wa Mvua kubwa nchini na hasa Mkoa wa Dar es Salaam mwezi April hadi June alitumia muda wake mwingi kukutana na ‘ Wadau ‘ wa mazingira na Wataalam ili kuja na ‘ mkakati ‘ wa kuzuia ‘ mafuriko ‘ yanaloliathiri Jiji mara kwa mara na Wananchi wake ambao ni takriban 100,000 na zaidi na akafanikiwa ama kulipunguza kwa kiasi kikubwa au kulimaliza kabisa.

Kiongozi Mwanasiasa B

Ambaye tokea mwezi March katikati hadi Mwezi April amekuwa akihimiza Wanawake ‘ waliotelekezwa ‘ na Waume / Mabwana zao pamoja na Watoto wao ( ambaye wengi wao hawana uhakika kama waliopachikwa Mimba na hao Wanaume wanaowasingizia au hapana ) ambao ni takribani 3300 wamiminike / waende Ofisini Kwake ili akawapatie msaada / ufumbuzi halafu akafanikiwa tu kwa kutoa ‘ matamko ‘ ya ‘ vitisho ‘ kwa Wanaume huku kati ya Wanawake 1200 walioenda kumuona sasa hivi ‘ mafuriko ‘ haya ya Mkoani Dar es Salaam yamewaathiri sana.

Tuzo ya GENTAMYCINE kwa Kiongozi Mwanasiasa huyo ipo tayari hivyo nawasubirini nyie tu ‘ Wadau ‘ mnichagulie ni yupi inamfaa ili nikamkabidhi rasmi. Nitahesabu tu ‘Kura ‘nyingi zinamuangukia yupi hivyo atakayepata nyingi nitatafsiri ndiyo anastahili kuipata kwa mujibu wa Great Thinkers wa JamiiForums.

Nawasilisha.
 
Nilivyosoma tu heading nikajua humu bashite atahusika tuu!maana whenever bad example required huyu jamaa lazma aonekane
 
Nilivyosoma tu heading nikajua humu bashite atahusika tuu!maana whenever bad example required huyu jamaa lazma aonekane

Huyo sijui Bashite wako amehusikaje hapa katika huu ' Uzi ' Mkuu? Tuanzie hapa tafadhali.
 
GENTAMYCINE ninakupenda bure A

Akhsante kwa Kunipenda Sky Eclat na leo sijui kama nitalala kwani hakuna raha duniani kama Mwanaume ikitokea ukapendwa na Mwanamke Mrembo, Msomi halafu Mwerevu hasa kama Wewe. Ila nadhani hunishindi Mimi kwa Kukupenda Dada na unajua fika kuwa Upendo wangu Kwako haupimiki wala hauna mfano. I love you mwaaaaaahhhhhhh........
 
Kiongozi Mwanasiasa A

Ambaye tokea mwezi January 2018 pale ambapo Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) walipotoa ‘ tahadhari ‘ ya ujio wa Mvua kubwa nchini na hasa Mkoa wa Dar es Salaam mwezi April hadi June alitumia muda wake mwingi kukutana na ‘ Wadau ‘ wa mazingira na Wataalam ili kuja na ‘ mkakati ‘ wa kuzuia ‘ mafuriko ‘ yanaloliathiri Jiji mara kwa mara na Wananchi wake ambao ni takriban 100,000 na zaidi na akafanikiwa ama kulipunguza kwa kiasi kikubwa au kulimaliza kabisa.

Kiongozi Mwanasiasa B

Ambaye tokea mwezi March katikati hadi Mwezi April amekuwa akihimiza Wanawake ‘ waliotelekezwa ‘ na Waume / Mabwana zao pamoja na Watoto wao ( ambaye wengi wao hawana uhakika kama waliopachikwa Mimba na hao Wanaume wanaowasingizia au hapana ) ambao ni takribani 3300 wamiminike / waende Ofisini Kwake ili akawapatie msaada / ufumbuzi halafu akafanikiwa tu kwa kutoa ‘ matamko ‘ ya ‘ vitisho ‘ kwa Wanaume huku kati ya Wanawake 1200 walioenda kumuona sasa hivi ‘ mafuriko ‘ haya ya Mkoani Dar es Salaam yamewaathiri sana.

Tuzo ya GENTAMYCINE kwa Kiongozi Mwanasiasa huyo ipo tayari hivyo nawasubirini nyie tu ‘ Wadau ‘ mnichagulie ni yupi inamfaa ili nikamkabidhi rasmi. Nitahesabu tu ‘Kura ‘nyingi zinamuangukia yupi hivyo atakayepata nyingi nitatafsiri ndiyo anastahili kuipata kwa mujibu wa Great Thinkers wa JamiiForums.

Nawasilisha.
nadhan tuzo ungempa kwanza mmeo kabla ya yote .. si utaachika aisee unataka kuwapa tuzo.wanaume..hahahaha....be careful utavunja ndoa yako bure
 
Ungetolea na mifano ndo tuchague wa kuwapa hizo tuzo, uliona wapi wasiojulikana wanapewa tuzo, wataje hao wagombea wako kwanza...
 
Kiongozi Mwanasiasa A

Ambaye tokea mwezi January 2018 pale ambapo Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) walipotoa ‘ tahadhari ‘ ya ujio wa Mvua kubwa nchini na hasa Mkoa wa Dar es Salaam mwezi April hadi June alitumia muda wake mwingi kukutana na ‘ Wadau ‘ wa mazingira na Wataalam ili kuja na ‘ mkakati ‘ wa kuzuia ‘ mafuriko ‘ yanaloliathiri Jiji mara kwa mara na Wananchi wake ambao ni takriban 100,000 na zaidi na akafanikiwa ama kulipunguza kwa kiasi kikubwa au kulimaliza kabisa.

Kiongozi Mwanasiasa B

Ambaye tokea mwezi March katikati hadi Mwezi April amekuwa akihimiza Wanawake ‘ waliotelekezwa ‘ na Waume / Mabwana zao pamoja na Watoto wao ( ambaye wengi wao hawana uhakika kama waliopachikwa Mimba na hao Wanaume wanaowasingizia au hapana ) ambao ni takribani 3300 wamiminike / waende Ofisini Kwake ili akawapatie msaada / ufumbuzi halafu akafanikiwa tu kwa kutoa ‘ matamko ‘ ya ‘ vitisho ‘ kwa Wanaume huku kati ya Wanawake 1200 walioenda kumuona sasa hivi ‘ mafuriko ‘ haya ya Mkoani Dar es Salaam yamewaathiri sana.

Tuzo ya GENTAMYCINE kwa Kiongozi Mwanasiasa huyo ipo tayari hivyo nawasubirini nyie tu ‘ Wadau ‘ mnichagulie ni yupi inamfaa ili nikamkabidhi rasmi. Nitahesabu tu ‘Kura ‘nyingi zinamuangukia yupi hivyo atakayepata nyingi nitatafsiri ndiyo anastahili kuipata kwa mujibu wa Great Thinkers wa JamiiForums.

Nawasilisha.
A
 
Baba yangu aliniusia kwamba nisimwamini mia kwa mia na kumpa siri zote. Alitetea hoja kuwa siku akikuchoka hizo siri zitakuwa silaha ya kukuangamiza. Nilimuona mzee kama ana hoja za kizamani lakini sasa naona kuna ukweli.
Hawa wanaomlalamikia RC wengi hawakuwa wake wa ndoa. Wa wadai wao. Walikuwa wakizini tu na kuwaibia wenye mali zao. Walikuwa wakiwahadaa wadai wao kwa majina matamu kama Baby leo hii wanajaribu kuhalalisha madhambi ya na wamempata mtetezi.
Wakiwa kwenye maraha walikuwa wanajificha sasa wako kwenye shida wanakuja hadharani.
Ingekuwa mm ningewasikiliza kwanza wale waliokuwa katika ndoa na sasa wametekelezwa.
Je, wapi wanaostahili kulalamika kwa mateso, ni wale waliotlekezwa au walioambukizwa ukimwi na sasa wanayeseka?
 
Back
Top Bottom