Recent content by muhubiri mpya

  1. muhubiri mpya

    CHADEMA Waitana Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi Kusikiliza uamuzi wa Jaji Ijumaa

    Acheni mahakama ifanye kazi yake, tarehe 18 hukumu ndogo haitatolewa jaji atahitaji muda zaidi, wote mnaosoma hapa mtakuwa mashahidi.
  2. muhubiri mpya

    Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

    Mbona hamueleweki kwani kwa sasa hii nchi mbona inaongozwa na wanzanzibar nini tena mnataka, sisi Tanganyika ndio tunataka nchi yetu
  3. muhubiri mpya

    Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

    Sasa hivi Waanzibar wanakula mema ya nchi, imagine mama ameenda kutembelea France yuko na katibu mkuu wandamizi wa Zanzibar na Tanzania, mwinyi anaitengeneza Zanzibar mama anakamilisha, Wazanzibar wamelizika.
  4. muhubiri mpya

    Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Jamaa unandika mwenyewe, unajijibu mwenyewe hizo avatar ziweke sawa kwanza
  5. muhubiri mpya

    Polisi wana ugomvi binafsi na chadema au wanatumika kisiasa?

    Habari za wakati huu wanajamvi, kwa muda mrefu nimekuwa nikijaribu kuangalia na kutazama mtifuano ambao umekuwa ukijitokeza mara kwa mara baina ya polisi na mahali wanapokuwapo viongozi wa chadema. Tukilejea matukio machache kuanzia maandamano ya wanachadema mwaka 2012 jijini Arusha, uvamizi wa...
  6. muhubiri mpya

    Mdhibiti CAG agundua ufisadi wa kutisha Jimboni kwa Spika Ndugai

    Mtu yeyote ambaye amewahi kufika kongwa na kupaona,kisha akaambiwa mbunge wao ni spika wa bunge wa Tanzania .hakuna mtu ambaye angekuwa anamulaumu mzee "chalaza fimbo" kwa jinsi anavyoliendesha bunge.shikamoo kongwa
  7. muhubiri mpya

    CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

    Watalamu wa "procurement" kununua kwa single source sijui kama kuna shida, sijaona kama kuna ufisadi wowote uliolezwa umefanywa na TPA hapo labda mleta mada utupe maelezo zaidi.
  8. muhubiri mpya

    Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

    nashukuru sana mkuu ndio maana naipenda sana JF na vichwa vyake vyenye madini yasiyo kauka
  9. muhubiri mpya

    Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

    Nashukuru sana mkuu Nashukuru sana mkuu,nipo Dar je hizo barua napeleka sehemu gani?
  10. muhubiri mpya

    Msaada: Namna ya kupata line ya Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money?

    Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine. Asanteni sana.
  11. muhubiri mpya

    Watawala wa Afrika wanazuia viongozi kuwa viongozi

    But mkuu naona tuna wajibu wa kuwafanya mijitu kuwa watu maana bila hivyo kizazi kijacho watasema walikuwa na mapoyoyo
  12. muhubiri mpya

    Watawala wa Afrika wanazuia viongozi kuwa viongozi

    Naomba nianze kwa kuwasalimu, habari za wakati huu Kwa zaidi ya nusu muongo nimekuwa nikifuatilia mijadala ya huku ndani JF nimekuja kugundua kuwa Taiifa hili na Afrika kwa ujumla tuna hazina kubwa ambayo hatuitumii kabisa Naomba nianze kwa kusema kuna tofauti kubwa ya mtawala na kiongozi...
Back
Top Bottom