Recent content by MUHIZ

  1. M

    Naomba msaada wa kusaidiwa kupata masomo

    Tuwasiliane huenda nikakusaidia.0787661973
  2. M

    Msaada unahitajika

    Habar wanajukwaa, naomba kufahamishwa ikiwa marehemu ameacha watoto aliozaa na mama tofauti na ikatokea mmoja wa hao watoto aliachwa na baba akiwa bado anasoma. Je, Kwenye utaratibu Wa mirathi huyo mtoto atagawana sawa na wenzie au inakuaje? Naomba kuwasilisha.
  3. M

    Naomba kujuzwa kuhusu uhamisho (transfers) katika Vyuo vya Afya vya Kati

    kutoka private kwenda gvt kozi ni clinical medicine diploma
  4. M

    Naomba kujuzwa kuhusu uhamisho (transfers) katika Vyuo vya Afya vya Kati

    Habari za wakati huu wanajukwaa, Naomba nifahamishwe kuwa naweza kutoka college moja kuhamia nyingine baada ya kumaliza semester moja au ndio hadi nimalize mwaka? Nawasilisha.
  5. M

    Kozi ya Diploma in Clinical Officer

    nenda city college of health and allied science
  6. M

    Kafaulu sana lakini kapangiwa shule haina maabara

    Lakini amepangiwa shule ambayo kiukweli kwa mjibu wa maelezo yake haina hata maabara na ndo imeanzishwa mwaka huu kwa maana wao ndo wanaanza na form five. [/SIZE][/FONT] ungethibitisha kwanza alichokwambia huyo dogo kuhus uwepo wa maabara ndo ungelikuja jf.
  7. M

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    CBG kusoma MD....?labda vyuo vya private au uwe umefaulu vizur BAM.kwa uhakika tafuta guidebook ya TCU.
  8. M

    Wapi nitapata kusoma certificate ya pharmacy

    acha kumpoteza mwnzio ndugu...kampala si kuna mgomo kwa wanafunz kada za afya?
  9. M

    Wapi nitapata kusoma certificate ya pharmacy

    Nenda city college of health and allied science kipo tandika-DSM. Kwa maelezo zaidi tembelea www.ccohas.com
  10. M

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    Habar wanajukwaa..kuna ndugu yangu amepangawa shule tajwa hapo juu. Hivyo kwa mwenye j.instruction naomba aniattachie. Natangliza shukran
  11. M

    Msaada: Mwenye taarifa za Betha health college

    mimi sikushaur kwenda hiko chuo kwa sababu zifuatazo: USAJILI:besha kilipewa usajil wa muda ambao uliisha tangu 2013 mwez wa nane na hawakufuatilia usajil wa moja kw moja. UTAWALA:besha hakuna utawala mzuri coz kinaendeshwa na mwanamama mmoja asiyemuelewa...
  12. M

    Vyuo vya kusomea Lab. Technician

    acha kumpoteza mwenzio bhana
Back
Top Bottom