Habar wanajukwaa, naomba kufahamishwa ikiwa marehemu ameacha watoto aliozaa na mama tofauti na ikatokea mmoja wa hao watoto aliachwa na baba akiwa bado anasoma.
Je, Kwenye utaratibu Wa mirathi huyo mtoto atagawana sawa na wenzie au inakuaje?
Naomba kuwasilisha.
Habari za wakati huu wanajukwaa,
Naomba nifahamishwe kuwa naweza kutoka college moja kuhamia nyingine baada ya kumaliza semester moja au ndio hadi nimalize mwaka?
Nawasilisha.
Lakini amepangiwa shule ambayo kiukweli kwa mjibu wa maelezo yake haina hata maabara na ndo imeanzishwa mwaka huu kwa maana wao ndo wanaanza na form five.
[/SIZE][/FONT]
ungethibitisha kwanza alichokwambia huyo dogo kuhus uwepo wa maabara ndo ungelikuja jf.
mimi sikushaur kwenda hiko chuo kwa sababu zifuatazo: USAJILI:besha kilipewa usajil wa muda ambao uliisha tangu 2013 mwez wa nane na hawakufuatilia usajil wa moja kw moja. UTAWALA:besha hakuna utawala mzuri coz kinaendeshwa na mwanamama mmoja asiyemuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.