Recent content by Muhidin Chedo

  1. M

    Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

    ...mfan mdog n jua la asubuhi(lile linalochomoza) wanasema sunrise na lile la jion(linalozama)sunset..hiki n moja kat ya k2 knachorudisha sn kinga ya mwili.. kila cku ktk maisha yako inatakiwa uamke asbh ulione jua linavyochomoza then upgwe na ule mwanga wake na jion ivyo ivyo ..hii kitu...
  2. M

    Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

    .... ukiambiwa tu unayo lazma upate stress, na hakuna k2 kbaya kinachoshusha kinga za mwil kama stress, hizi zinashusha kinga za mwil kuliko ata ukimwi wenyew,so unapojua unao ata km upo fresh unakula vzur matz kwasana ila stress lazma uwe nazo 2,utajiona dhaifu, upo tofaut na wengne, upo poa...
  3. M

    Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

    Tatz tunapgwa changa sana,kwakifupi ukimwi co ugonjwa ni upungufu wa kinga kama vle upungufu wa nguvu za kiume,upungufu c ugonjwa ww hapo ukipungukiwa na dam mwilin huo co ugonjwa inatakiwa uongezew mchezo uisho,.. km unapokua na mapungufu ya nguv za kiume inamaana huitaj dawa ila kufuata mfumo...
  4. M

    Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

    Tupe fakt kwann ni uongo ..tuelezee kdg il 2elewe
  5. M

    Kuna faida gani za nchi kuruhusu mataifa kuingia bila VISA?

    Tunataka afrika moja mataifa yote yawe wamoja bila visa,achen porojo zenu za vjiwen,hii ndo afrika gadafi alioitaka
  6. M

    Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

    .. unapojuka kwny mabaya na mazuri io ndio nature ilivyo ni swala la nishat kama vle hasi na chanya,kila jema lina baya lake.. "a man is still a man ,the only difference is whether him good or evil". tupo kwny ushindan,sisi tupo katikati ya hizi nguvu mbili (good n evil) so,ili maisha yaendelee...
  7. M

    Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

    Mungu yupo kweli... ila sio mungu wa kwenye quran wala biblia, MUNGU yupo ndan yako, wewe ni sehem yake na huna haja yakwenda kumuomba mahali maalum ila popote wkt wowote.. tatz ata hao wanaokubali kuwa mungu yupo bado hawajamjua vzur wao kama wao ila wamekaririshwa.. haitakiwi ukaririshwe...
  8. M

    Elimu ni ufunguo wa Maisha, Diamond anamsomesha mtoto wake Braeburn International school, chekechea ada milioni 20

    Tatizo la elimu ni kwamba yan wewe unasoma yale ambayo wenzako tayari anayajua na weng wao hayajawasaidia lolote(hususan ktk swala zima la ajira).note; akili ni ufunguo wa maisha na sio elimu
  9. M

    vijana wa Arusha wanapigana kwa visu. Wanaume tunazichapa kavu na maisha yanaendelea

    Chuga kupgana mabeto ni k2 cha kawaida hadi kuna baadhi yamaeneo wameweka vibao vya kisu af kimewekewa mstar kumaanisha io sehem hairuhusiw kuwa na beto(kisu)
  10. M

    Waislamu, na wasiokuwa waislamu 👇

    Kwasisi wapagan naona hii haituhusu
  11. M

    HISTORIA YA WATURUKI (Wazungu waliogeuka waislam na kuchukua fursa kama waroma)

    Hii ni historia km historia nyingne unazosoma ili kujfunza na kujua zaid chimbuko la mambo mbalimbali
  12. M

    HISTORIA YA WATURUKI (Wazungu waliogeuka waislam na kuchukua fursa kama waroma)

    NB:Nimeitoa kwa ufupi sana,nikipata muda nitawaeleza..walianzaje,ilikuaje hadi wakawa tabaka la chini na uislam uliwasaidiaje hadi kuinukia na kuwa himaya kubwa dunian.. kwakifupi zile story unazockia wayahudi walivyokua wakinyanyasika na kunyanyapaliwa uwa nahis story yao walikopy kwa hawa jamaa
Back
Top Bottom