Asante sana LEGE,lakini kiukweli ni bora stori ingeishia njia ningeashuum mwenyewe mwisho ambao utanifurahisha kuliko hivi ilivoishia,ila kwa ujumla stori ni tamu mno.
****SEHEMU YA NNE****
MIAKA 10 ILIYOPITA.
Moza alikuwa ameamka mapema sana kama kawaida yake, kwa lengo la kwenda kufungua biashara yake ya siku zote,biashara ya mama ntilie.
Alipofika kwenye banda lake akashangaa kumuona mtu amelala kichakani pembeni kidogo ya banda lake,haikuwa jambo...
****SEHEMU YA TATU****
Mamu baada ya kulikumbuka tukio lile ambalo lilipita kichwani mwake kama mkanda wa video,alijikuta amekuwa mwepesi sana.
" itabidi niwasiliane na shangazi kama bibi alivokuwa akiwasiliana na shangazi,kwanza nimpe taarifa ya msiba wa bibi,maana hakuna mtu wa kumpa...
RIWAYA: YATIMA
MTUNZI :RAJU NUHADAMU
Simu : 0679296836
**SEHEMU YA KWANZA**
Mamu alikuwa ni msichana mzuri wa sura,mzuri wa umbo,na pia alikuwa ni mzuri wa tabia.
********************
Alizaliwa katika familia ya kimaskini,alikuwa ni mtoto pekee katika familia hiyo,kwa bahati mbaya...
chizi mmoja alikuwa kazungukwa na watu wakimsikiliza,
chizi: mimi nashangaa kuona mtu anaibiwa nguo.
watu: sasa tufanyeje ili tusiibiwe nguo.
chizi.: ukitaka usiibiwe nguo njia ni rahisi tu.
watu.:njia ipi?
chizi: vaa nguo zote!!!!!!!
NI STORI YA KWELI ILITOKEA MIAKA YA NYUMA SANA
watu walikuwa wakiangalia mwezi
mwandamo kwa ajili ya mfungo wa ramadhani,vijana kwa wazee.
mara mzee mmoja aliyekuwa anakaribia miaka mia akasikika akisema,
"mwezi ule pale nimeuona"
watu, "ukowapi mzee mbona hatuuoni?"
mzee, "ule pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.