Recent content by muhi

  1. M

    Riwaya: Yatima

    SEHEMU YA TANO ******""*************
  2. M

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Asante sana LEGE,lakini kiukweli ni bora stori ingeishia njia ningeashuum mwenyewe mwisho ambao utanifurahisha kuliko hivi ilivoishia,ila kwa ujumla stori ni tamu mno.
  3. M

    Riwaya: Yatima

    ****SEHEMU YA NNE**** MIAKA 10 ILIYOPITA. Moza alikuwa ameamka mapema sana kama kawaida yake, kwa lengo la kwenda kufungua biashara yake ya siku zote,biashara ya mama ntilie. Alipofika kwenye banda lake akashangaa kumuona mtu amelala kichakani pembeni kidogo ya banda lake,haikuwa jambo...
  4. M

    Riwaya: Yatima

    ****SEHEMU YA TATU**** Mamu baada ya kulikumbuka tukio lile ambalo lilipita kichwani mwake kama mkanda wa video,alijikuta amekuwa mwepesi sana. " itabidi niwasiliane na shangazi kama bibi alivokuwa akiwasiliana na shangazi,kwanza nimpe taarifa ya msiba wa bibi,maana hakuna mtu wa kumpa...
  5. M

    Riwaya: Yatima

    RIWAYA: YATIMA MTUNZI :RAJU NUHADAMU Simu : 0679296836 **SEHEMU YA KWANZA** Mamu alikuwa ni msichana mzuri wa sura,mzuri wa umbo,na pia alikuwa ni mzuri wa tabia. ******************** Alizaliwa katika familia ya kimaskini,alikuwa ni mtoto pekee katika familia hiyo,kwa bahati mbaya...
  6. M

    Kwenda Hijja 2014 ni Dolla 4,400

    Ndio maana ukaambiwa,KWA MWENYE UWEZO.
  7. M

    Hivi vazi la ndani (chupi) lina umuhimu gani kiafya?

    Chupi ni pambo kwa kinadada,ila kwa wanaume ni ...........
  8. M

    Just Imagine: utanunua kipi kati ya hivi?

    How to avoid death by nelson mandela.
  9. M

    Chemsha bongo

    Wageni kadhaa viti kadhaa.
  10. M

    Komesha kwa wizi wa nguo!

    chizi mmoja alikuwa kazungukwa na watu wakimsikiliza, chizi: mimi nashangaa kuona mtu anaibiwa nguo. watu: sasa tufanyeje ili tusiibiwe nguo. chizi.: ukitaka usiibiwe nguo njia ni rahisi tu. watu.:njia ipi? chizi: vaa nguo zote!!!!!!!
  11. M

    Mwezi mwandamo!

    NI STORI YA KWELI ILITOKEA MIAKA YA NYUMA SANA watu walikuwa wakiangalia mwezi mwandamo kwa ajili ya mfungo wa ramadhani,vijana kwa wazee. mara mzee mmoja aliyekuwa anakaribia miaka mia akasikika akisema, "mwezi ule pale nimeuona" watu, "ukowapi mzee mbona hatuuoni?" mzee, "ule pale...
  12. M

    Wasomi mpo?

    Hahaha,hao ndio wasomi wa bongo,ni wavivu wa kufkiria,wao wanategemea walichokremu tu!!!!!!
  13. M

    Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

    jamaa anakuona umeinamia gazeti unasoma,anakuuliza,"unasoma?"...... hapana nasomesha.
  14. M

    Wizi mkubwa Tanzania

    Chezea tz wewe!!!!
  15. M

    Usifungue hapa (Danger)!

    Ebo!!!!!!, wee si nimekwambia usifungue? Kama ningeweka sumu je, si ungeshakufa? Nyie ndo mnachunguliaga siri za watu. Siku nyingine usirudie tena!!!
Back
Top Bottom