Recent content by Muhabeshi

  1. Muhabeshi

    Tunajikwamuaje katika mambo haya vijana wenzangu?

    Tatizo hapa ni vijana wengi kuzama kwenye kilevi cha ngono zembe, na hasara zake ni kubwa 1. Akili kudumaa 2. Maradhi 3. Upotevu wa malezi sahihi kwa watoto 4. Kulega kwa ndoa 5. Kudorora kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja, familia mpaka taifa. Hayo ni baadhi yake, swali ni je tunaweza vipi...
  2. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Wanafanya mpaka wote ata waliokuwa wastaarabu waonekane wa hovyo.
  3. Muhabeshi

    Usipande mbegu ya UBAYA ukategemea zao la WEMA

    Wengi wetu tunajisahau kwenye hili
  4. Muhabeshi

    Usipande mbegu ya UBAYA ukategemea zao la WEMA

    Hii inatuhusu vijana wengi tulio kwenye ndoa na tunaotarajia. Wengi wetu tumekuwa wa kwanza kupoteza heshima ama kutoziheshimu NDOA zetu pia ata na wenza wetu. Hivi ni yupi kati yetu anayeweza kustahamili Ubaya uleule tunaowafanyia kisha kufanyiwa wewe. Kijana mwenzangu JAMBO...
  5. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Hyo sio sababu, ila sikulaumu labda ndipo fikra zako zilipoishia
  6. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Kipindi unafanya yote haya familia yako imejitosheleza ama ndugu ama wazazi....? Ndo maana nasema umasikin kwa maana unaakisi pengi, pesayoivuruga hvyo leo iliwezekana ukampa support ndugu kibiashara...
  7. Muhabeshi

    Chukua hii kwa faida yako, tumia jivu kupambana na utitiri wa kuku

    Kama wew ni mfugaji wa kuku na unahangaika wadudu waitwao utitiri, basi suluhu ya jambo hili jepesi isiyokuwa na gharama. Ni jivu la moto iwe la mkaa au kuni. Namna ya kutumia waweza kulimwaga chumba ama banda lote pale unapomaliza unapofagia kila siku mpaka hali itakata yenyewe.
  8. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Hakuna pesa isiyokuwa na mipango ndugu, unadhani hata kama unapata net income 1m kwenye chakula, mavazi na malazi ukisema upate yote haya kwa inavyostahiki itatosha..tukubali Zinaa ndo tatizo
  9. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Umeona hapo jamaa yangu, vip wengi siku tunashindwa kupiga hatua sababu ya zinaa.
  10. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Muda mwingi na mali pia tunapoteza kupitia zinaa na matokeo ya zinaa ni watoto wanaokatiliwa kisha wakaja kuwa omba omba wanaokosa elimu.
  11. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Ndio kwa maana ikiachwa zinaa mambo mengi yatanyooka ndugu yangu.
  12. Muhabeshi

    Tusidanganyane vijana wenzangu, kukithiri kwa zinaa huleta umasikini

    Zama za sasa kumekuwa na Watoto wengi wa nje ya Ndoa, Kukithiri kwa MARADHI na hata UMASKINI. Sababu ya haya yote ni kukithiri kwa ZINAA. Kama unapinga pinga kwa hoja.
  13. Muhabeshi

    Salam kwenu ndugu zangu

    Pamoja sana ushirikiano wako ni jambo bora zaid
  14. Muhabeshi

    Salam kwenu ndugu zangu

    Nianze kwa salam wana ndugu. Ugeni wangu uwe sababu ya kupata fikra na changamoto mpya na kushirikiana kwa wema na hata ninapoteleza bas na tusamehane. Nimalizie na ya kwamba tupo pamoja katika namna ya kupeana chakula cha fikra.
Back
Top Bottom