Tundu Lissu ni brain kubwa, ukimuelewa huchoki kumsikiliza. Watu kama Lissu Mataifa mengine yanawekeza fedha nyingi sana kwa masilahi mapana ya Taifa, sisi tunaendekeza siasa.
Tundu Lissu ni mwamba katika miamba yote, yuko vizuri sana, ni mwanasiasa jasiri na hii nchi inampenda ndiyo maana damu yake ilimwagika na hakufa ili ashuhudie ukuu wa Mungu.
Tena muongozo uliotukuka kabisa, naendelea kujifunza mengi kwenye finishing siyo mchezo, ila mafundi wengi ni madalali, anachukua kazi kwa mbwembwe kwamba anajua kupiga tiles kumbe hamna kitu, matokeo yake analeta fundi tiles na yeye anabaki kuzugazuga tu.
Uchambuzi kama huu uwe unahifadhiwa ili siku moja ukiwa umevurugwa unafungua ukurasa unasoma akili inatulia. Hongera sana Yeriko Nyerere kwa bandiko safi.
Kilimo ni muhimu sana katika uchumi wa viwanda, ukishindwa kuwekeza kwenye kilimo Taifa linaanguka, linakuwa ombaomba. Swala la mbolea siyo la Mkenda ni swala zima la nchi na mamlaka zake zote kuipa nguvu wizara ya kilimo ili Taifa lipone.
Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.