kagame andharau sana tz anasahau msaada wa tz kwa nchi ya rwanda na kwaa afrika mashariki kwa ujumla ss watanzania lazimaa tujadili swala la kagame kuibeza tz kila kukicha anayepinga hili anamtindio wa akiri kwa sababu wazi wazi huyu mtu yy anajiona yy ndo yuko sahihi jambo ambalo si kweli...
kagame ni mchokozi hilo ni kweli pia tanzania inahifadhi wanyarwanda wengi na wengine wapo ktk secta nyeti tukiangalia vibaya hawa watu wataiponza tanzania kwa upande wa kagame aangalie vizuri maana akiendelea na chokochoko tutampiga alafu wahutu watatumia hiyo nafasi nimesoma na watusi hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.