majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
Nilishasema humu, mijadala hii ya kumsifia KAGAME humu JF na wafuasi wa CHADEMA lazima kungekuwa na watu kutoka nchini wako nyuma ya Sakata hili. na nadhani ndiyo maana Rais katoa tamko kule DODOMA.
Naungana na Mtikila kuwa KAGAME achapwe ili tujue huyo Mbunge aliyekwenda kuchukua harambee huko RWANDA.
mbunge anajulikana issue sasa ni lazima ashughulikiwe, watanzania tukome kuwaamini wahamiaji haramu manyangau