Samahani katika income tax kuna mtu kaelezea vzur hapo juu hila kwa kawaid unapofanya biashara flan, unapojiwa au unawekeza sehemu kwa matarjio ya faida ndo inazaa neno Income tax
Income tax ni Direct tax na VAT ni indirect Tax
Income tax anailipa tu yule mwajiriwa mwenye mkataba na mwajiRi anayetoa huduma ya kuifundi au nyingineyo na hyo kodi ulipwa moja kwa moja na mwajiri wako ndo maana ikaitwa "Direct Taxes" na VAT ulipwa katika ongezeko ya thamani ya Bidhaat katika...
Ni wito tu kwa wafanya Biashara kuyajua Mazingira ya Biashara vizuri baada ya kuupata "Mtaji" ambao ni lengo mama la kusimamisha Biashara husika. Kodi ni "Sanaa"inayokuitaji wewe mfanyabiasha kujua ni kipi na nini mbeleni inatakiwa nifanye.
kwa mfanyabiashara yyte yakupasa kujua ni kodi ngapi...
Mfanyabiashara wa kariakoo analipa pesa kiduchu sana hata kutolipa kabisa ukilinganisha na mwajiriwa anayelipwa laki 6 kwa mwezi. Umeongelea tu PAYE Umesahau na statutory ded. ambazo kwa kipnd hikI ni ngumu sana ku retain hicho kiasi mfano Pension Funds.
Kuna watu wanacheza na EFD Mashine ama kwa kujua au kutojua ambapo kila siku Z Report inatumwa kila siku kwenda TRA. unakuta Receipt ina thamani ya Tsh 10001500/= kumbe mfanyaBiashara alikusudia ts& 1000/ na Tsh 1500/ na kibaya zaidi Hakufahamu mistake hii na Receipt hakuitunza wala hakutuma...
EFD zina level. Anayotumia Bakheresa na mimi ni tofauti kidogo . Kwa wateja walio qulify kupata VRN ndo wenye uwezo tu wa ku claims gharama . Na kwa wafanyabiasha wadogo wasioweza kufikisha mauzo ya Tsh 100M au 60M ndani ya Miez sita EFD kwao zihatumika kama benchmark ya makadilio ya kodi yake...
Una weza kureverse estimate baada ya kudai makadilio ya chini kulingana na Bei husika ambayo ni CIF.
Kabla ujafanya Biashara tajwa ni pendekezo kuwaona Tax Consultant
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Kuanzia mwenye mtaji wa Tsh 5,000,000/= ntafuta consultant wa issue za kodi la sivyo utalia sana. Usione tabu kumlipa mtu Tsh 70,000/= kwa Mwezi hila kidogo kidogo asaidie swala zima la kodi.
Sheria za Kodi zipo wazi hila mfanyabiashara wa kawaida ni ngumu kuzitafsiri na kuchakata kila kitu...
We ndo yule kijana unaye wa himiza vijana kufanya Biashara ya ForeX. Basi kama ni wewe basi hamna shida, leta uzi mwingine. Na nyie wa mliojiunga Forex mtaendelea kufurahia siku hadi siku.
Huyo Almachus Kahwa alikuwa bright tena mpole mpole hv nimesoma nae O level, Jamaa wa kawaida ukimtizama lakini ni mTu mmoja Bright ukikubali kuongea nae lugha ya kisoma na kuFanya evaluation ya vitu sensitivity. Na atakuwa alikuchanganya kwa sababu sio msomaji sana kama wewe hila tambua hapo...
Ishi maisha yko Mungu ana makusudi katika kila Jambo
Njia utakayoichagua ni mbaya kuliko unavyofikiri wewe.
Wanawake wazuri wa tabia ni wengi kuliko unavyofikiria wewe. Amani ya Moyo wako inakutegemea wewe.
Acha Uzinzi na tafuta Mke huku umkitumainia aliyekuumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.