Huyu jamaa anadharau na kiburi bila sababu halafu hayuko flexible.
Mfano mechi ya marudiano na Al Ahly ilikuwa na haja gani kuanza na false namba 9? Mechi za ndani ugenini Kama ya Ihefu na mashujaa hakujua plan ilitakiwaje? Anarudi na plani zake zilizofeli kwenye mechi iliopita?
Sub zake ni za...
Upo wapiii?? Kama upo karibu na miji au pembezoni mwa mji fuga ng'ombe wa3 wa maziwa hapo utatumia 10M ikiwa kununua kiwanja,,,kununua ng'ombe for 2.5M @ wawili na moja ukanunua 2.8M.....
Hapa Pato ghafi litaanzia 45,000 per day hadi 90,000 depend na ulipo so within 3 mounth had 6mounth kutokana...
Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---
Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.