Mchezaji hupewa 5% ya bei yake aliyouzwa hii ni dunia yote then wakala Nako anakula 5% ,,so timu inayomiliki huchukua 90% ambayo pia inakatwa kwenda Kwa timu alizotumikia akiwa u23
Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii?
Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.