Recent content by mugah di matheo

  1. mugah di matheo

    Nchi 7 'hatari' zaidi kwa usalama Afrika

    Bila Sudani ni chai masala tu hii
  2. mugah di matheo

    GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Singida magharibi?? Singida mjini??
  3. mugah di matheo

    Israel Mwenda pole sana kumbe ulikuwa huwajui Yanga SC vizuri pamoja na Kufurahia Kwako kwenda Kwao kwa Kutuzodoa wana Simba SC?

    Mchezaji hupewa 5% ya bei yake aliyouzwa hii ni dunia yote then wakala Nako anakula 5% ,,so timu inayomiliki huchukua 90% ambayo pia inakatwa kwenda Kwa timu alizotumikia akiwa u23
  4. mugah di matheo

    Swali Kwa wanaume?

    Kula asali,,nyanya chungu na karanga+Mihogo mibichi
  5. mugah di matheo

    Hivi wadau wa soka Bongo hatuna kumbukumbu?

    Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii? Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo...
  6. mugah di matheo

    Mataifa 4 kukutana punde kikao cha faragha

    Labda Pakistani awe seriously kidogo lakini Hawa wengine watakudanganya tu
  7. mugah di matheo

    Hii yenyewe au?

    Nyoka au?
Back
Top Bottom