Habari za mchana huu wana JF wenzangu...........................Poleni na harakati za kufanya mkono uende kinywani
Kwa faida ya wengi, naomba mods msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kutokana na unyeti na umahsusi wa mada tajwa humu.
Naomba kwa yoyote anayefahamu kwa kina kuhusu mchakato...
Mleta uzi you have a point, jamaa alikua anajib maswali ya msingi aliyokuwa akiulizwa pale Clouds kwa majibu ya darasani kabisa ( too theoretical) mpk nikashindwa kabisa kumuelewa km huyu ndio Waziri wa fedha
Utakuta traffic wa mataa ya Kamata karuhusu gari zinazotoka mjini kuelekea Mfugale kupita kisha yule wa mataa ya Changombe kazuia anaruhusu gari zinazotoka Ilala kwnd temeke
Vurugu tupu asee
Mkuu nimewahi pia kuwaza kama wewe siku moja foleni ilipokua kali sana pale mataa ya Kamata kutokea mjini
Wazo mbadala, hivi App developers hawawezi kutengeneza app itakayotoa live feed ya foleni barabaran ili kama barabara A iko overloaded basi watu watumie barabara B
Kwamfano kwa siku za...
Wasiwasi wangu pia ni kama upanuzi wa Uhuru Road (Karume-Kkoo) utawezekana maana zile njia mbili zimemaliza space yote
Labda kama BRT itaunga Nyerere Rd (Mataa ya Changombe) to Kkoo
Umeongea vema Mkuu lkn pia kama kweli tunataka kuwafanya wananchi wapende na wawe na moyo wa kulipa kodi kwa hiari yao wenyewe ni lazima pia kodi unayokusanywa ikalete mabadiliko na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi hao, sidhani kama kuna mlipa kodi atapenda kulipa ilihali haoni impact...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.