Unajitaidi Sana kupindisha ukweli unazani mtanzania bado amelala kama unavyo fikiria huwezi eleweka kwakuwa mambo mengi tunajionea Kwa macho siyo kuambiwa
Wewe ndo unapotosha uszani wananchi hatujui madudu yaliyomo
Unaposema kura 0 wakati mgombea mwenyewe kajipigia kura inamaana kura yake imeenda wapi mpaka iwe zero?
Wana JF naomba tuelimishane kuhusu huu ujumbe wa MamboAfrica unao sambazwa na mtandao wa Airtel isije ikawa ni matapeli tukalizwa anayejua naomba atujuze najua nahumu wapo wengi waliotumiwa huu ujumbe
Kutembea na mke wa mtu kweli siyo vizuri kama unajua kuwa huyo nimke wa mtu
Lakini kuna Wanawake wengine hawasemi ukweli wanajifanya wako single Ila utakuja kujiua siku yamekufika
Je hapo uta kaaje mbali nao
Mimi nilivyo elewa utajiri wa madini maana yake ni
Nchi zilizo tajilika kupitia madini yaliyomo nchimi mwao
Lakini Kwa Tanzania yetu madini tunayo Kwa wingi lakini Tanzania haijatajirika kupitia madini hayo
Maana yake mnayaiba
Tatizo lako umekalili madili tu. Utazani ndo kwanza unaanza kuyajua madili mabroo zako wanaona kuongelea madili na wewe bado hujakomaa bola wakuulize kuoa kwanza mambo mengine ndo yanafuata.
Ila kifupi kubishana na wavulana ni shida yataka moyo maana ndo kwanza wanaanza kuyajua maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.