Binafsi nilipokuwa miaka 10 nilikuwa na wenzangu tunacheza mpira wa makaratasi na washkaji, pembeni ya ule uwanja kulikuwa na mwembe wenye matunda machache tu basi kuna jamaa alikwea juu ya ule mti akaanza kuzitikisa ili zianguke.
Tulipoona vile wote tukaenda kuaokota kisha tugawane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.