Serikali haina haja y kufanya biashara . Jambo hili lilishandikana awamu ya kwanza. Kinachotakiwa serikali ikusanye kodi stahiki kwa wanaofanya biashara. TTCl inaomba 1.6 tril ili kuboresha huduma zake , hapo hapo inatoa gawio serikali. Haya ni maajabu y karne. Report y CAG shirika lipo ICU...
Phd holder amechanganyikiwa n madaraka mpaka amesahau thamani y uhai wa binadamu. Kumbuka wtt wake n mkewe n familia kwa ujumla wako kwenye majonzi makubwa kw kupotea bwana Ezory. Tunaamini mh bado unamajonzi makubwa ya mke , kumbuka n familia yEzory nayo inaumia km uumiavyo wewe.
Hivi sasa watu wengi wamechoshwa kusikia ccm. Wapo tayari kijiunga n chama chochote bila kujali nani yupo km lengo nikukiondoa madaraka. Ndio maana wanamkimbia Prof kwasababu anaonekana kuwa msaliti, anatumika
Nina wakuruhusu hayo yote? Wananchi walitoa mawazo kwenye mapendekezo y katiba mpya chini jaji Warioba yakafyekelewa mbali. Labda ungeuliza tufanye nini au unashauri nn ili tupate katiba inayokidhi mahitaji y mfumo wa vyama vingi. Kwa katiba ilipoyopo ni majanga makubwa. Ma dc n Rc wanalipwa n...
Yy hakuwa n saving yoyote? Ndugu yako alishapoteza uhai popote anafukiwa tu. Lisu anatetea uhai wake. Lisu anachotetea ni kwa manufaa ya nchi. Hatuna taarifa n ndugu yako alikuwa anasimamia nn? Kitu gn alifuata huko. Acha kubeza watu kwahoja dhaifu
Tumsaidie TL anapitia kipindi kigumu. Matibabu ni gharama kubwa, malazi, na mambo mengine. Hakupenda hili litokee tuache kejeli zisizo n maana, hujuikesho lipi litakufika. Tumshukuru mungu kumpa nafasi nyingine y kuishi, atizame familia yake nakuendelea kulitumikia Taifa lake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.