mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,882
- 136,798
Bavicha mtapatatabu sanawatu wamefunga biashara zao kkoo mitaji imekata mnaanza kwenda china ndio mwanzo wa siti kubaki wazi wakati wa trip
Serikali kuna mahali inakwama ijiangalie upya
Wachina hawana lolote, mafisadi tu na wezi hao
China wanatoa rushwa kwenye nchi za Africa ili kupata kandarasi za ujenzi...
China wanamwaga vitu feki huku Tanzania
Tanzania ni shamba la bibi kuuzia vitu feki
Kwa Nini Tanzania inashindwa kuuza Mahindi na Nguruwe China?
China inaagiza Corns (Mahindi) kutoka Marekani (USA)
Unafiki tu na Mazuzu yanashangilia
Tayari wameshaanza.Chadema watapinga
MUMBAI Fly Air Tanzania Dreamliner 787 direct from Dar es Salaam to Mumbai. Watch this space for more details. [HASHTAG]#TheWingsOfKilimanjaro[/HASHTAG] [HASHTAG]#EndeleaKupsauaAnga[/HASHTAG] [HASHTAG]#Mumbai[/HASHTAG] [HASHTAG]#India[/HASHTAG] [HASHTAG]#Dreamliner[/HASHTAG]
View attachment 766774
View attachment 766779
Hivi ni kweli dreamliner iko grounded au bado inasafirisha nyama ya mbuzi kwenda Dubai?kuna aliyeipiga picha akakamatwa je ni kweli?First trip aanze mzee baba mtukufu kutangaza fursa alizozifunga kwa miaka yote hiooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Natunza comment yako mkuuSafari za India vipi, Zambia na Zimbabwe tunaomba marejesho..
Japo nasikia muda sio mrefu ATCL itahamishiwa Ikulu, hakuna CAG kugusa tena.
Huko China itakuwa ikiwapeleka kina nani maana wafanyabiashara wengi kwa sasa wako hoi. Au itakuwa inampeleka Makonda na Gambo kama walivyokwenda Zimbabwe?View attachment 1069861
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Prof Palamagamba Kabudi amesema shirika la ndege nchini ATCL linatarajia kuanza safari za ndege ya moja kwa moja kutoka Dar es Salaam mpaka kwenye jiji la Guangzhou nchini China ili kuchochea biashara na utalii kati ya Tanzania na China.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa ofisi ndogo za ubalozi wa China jijini Dodoma Waziri Kabudi anasema Guangzhou ndio kitovu cha biashara baina ya nchi hizi mbili na safari hizo zinatarajiwa kuana kati ya mwezi June na Septemba ambapo pia mwaka ujao wa fedha Tanzania itafungua ubalozi mdogo kwenye jiji hilo.
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama Mhe Mussa Azan anasema mataifa ya Tanzania na China yana uhusiano wa kihistoria kwa muda mrefu huku balozi wa china nchini Wang ke akisema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi za Tanzania kwenye mambo mbalimbali ya maendeleo.
Safari wanatarajia zitaanza katikati ya jun na September!!!! Hata wao hawana uhakika wa hata mwezi gani wataruka kwenda huko. Watu wanafanyaje bookings wakati haifahamiki ratiba ya safari zao?
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1069861
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Prof Palamagamba Kabudi amesema shirika la ndege nchini ATCL linatarajia kuanza safari za ndege ya moja kwa moja kutoka Dar es Salaam mpaka kwenye jiji la Guangzhou nchini China ili kuchochea biashara na utalii kati ya Tanzania na China.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa ofisi ndogo za ubalozi wa China jijini Dodoma Waziri Kabudi anasema Guangzhou ndio kitovu cha biashara baina ya nchi hizi mbili na safari hizo zinatarajiwa kuana kati ya mwezi June na Septemba ambapo pia mwaka ujao wa fedha Tanzania itafungua ubalozi mdogo kwenye jiji hilo.
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje ulinzi na usalama Mhe Mussa Azan anasema mataifa ya Tanzania na China yana uhusiano wa kihistoria kwa muda mrefu huku balozi wa china nchini Wang ke akisema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi za Tanzania kwenye mambo mbalimbali ya maendeleo.
Asante Prof. Kabudi na wadau wote kufanikisha hilo. Ni fahari na faraja kuona nembo yetu Guanzhou
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wamefunga biashara zao kkoo mitaji imekata mnaanza kwenda china ndio mwanzo wa siti kubaki wazi wakati wa trip
Serikali kuna mahali inakwama ijiangalie upya
Safari za India vipi, Zambia na Zimbabwe tunaomba marejesho..
Japo nasikia muda sio mrefu ATCL itahamishiwa Ikulu, hakuna CAG kugusa tena.
Labda kuna vikao vya chama kwenye kipindi hicho maana hawachelewi ku cancel safari kisa dream liner inawapeleka waneki dodomaSafari wanatarajia zitaanza katikati ya jun na September!!!! Hata wao hawana uhakika wa hata mwezi gani wataruka kwenda huko. Watu wanafanyaje bookings wakati haifahamiki ratiba ya safari zao?
Sent using Jamii Forums mobile app