Watendaji wakuu Serikalini, waajiriwa Serikalini na taasisi zake wanatosha kuiinua TTCL iwapo watatumia mtandao huo - TTCL jengeni minara nchini!

mkafrend

JF-Expert Member
May 12, 2014
3,047
1,503
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!
 
Super Single Network
Unajua consumers behaviour Mkuu?
Kuna watu wakiona jina tu la TTCL anahisi kichefuchefu.
Sasa sijui tunaendaje
 
Kwani wamekwambia hiyo ndio strategy plan yao?plan yao ni wafanyakazi wa serikali watumie mtandao wa TTCL mwezi huu ukiisha.
 
[QUOTE="balimar, post: 31551201, member: 326137"Kuna watu wakiona jina tu la TTCL anahisi kichefuchefu.[/QUOTE]

Hata mimi zamani nilikuwa miongoni mwao lkn sasa hivi kwa uwekezaji wake wamabadilika sana
 
Umesikika mkuu,ni wazo jema katika kulijenga shirika,sema ndio hivyo tena ushindani wa soko
 
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!
Biashara ni upinzani inategemea na bidhaa watakazo zitoa
 
alafu tunajigamba kuwa tunavutia wawekezaji!! uchumi wa awamu ya 5 ni vituko. Hakuna kitu wawekezaji wanakichukua kama 'economic interventionism'
 
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!
Mimi nadhani iwekwe amri kwamba shuhuli zote za kiserikali zifanywe kwa kutumia TTCL.Hii itawafanya viongozi kutumia mtandao wetu.Halafu na sisi wananchi inabidi tuwe wazalendo,kama wengi wetu au wote tutatumia TTCL,tutainua sana shirika letu.Mimi natumia TTCL kama moja ya laini zangu,kwa nini wengine tusifanye hivyo?
 
NETWORK TU INAWASHINDA
Mkuu naamini huna line ya TTCL,try it,I believe you won't regret.Wewe nadhani you are talking history.Nakubaliana na wewe kwamba huko nyuma hawakuwa vizuri,but they are okay now.Let's support our network.Jivunie chako mkuu,mpenda vya watu ni mtumwa.
 
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!
Wazo jema, ila mifano hai iko mingim angalia UDART njia yote hawana mpinzani lakini wafanyakazi wanakosa mshahara.
Halotel wamekuja juzi tu na wameanzia kuwekeza vijijinii wameshaanza kuwa tishio kwa voda na TIGO,.
Muda wote huo TTCL wapo tu , ngoja tuwape muda
 
Haya mambo yakiwa ya kulazimishana itakula kwao, cha msingi waweke vifurushi vya kuvutia, ila kunilazimisha kutumia simcard ya mtandao fulani labda kama nimenunuliwa simu, nimenunuliwa line, na nimewekewa vocha na huyo antakaenilazimisha otherwise watakua wanatwanga maji kwenye kinu.
 
mi naona wangeiga mtindo waliokuwa nao tigo na voda zamani, wanakuuzia simu ina soma tigo a voda tu na huwezikuamisha halafu ndio wawape hao watumishi kwa discount

Itakuwa ngumu mtusimu yake kuingia ttcl wakti kanunua mwenyewe na nani ana pesa na muda wa kufuatilia watumishi gani wanakwepa TTCL.

Pia kwa mazingira ya hali ngumu ya wafanyazi mshahara ule ule toka 2015 atumie hata elfu 10 kwa mwezi ni wachache sana.wengi wanatumia kwa incoming calls wadada tinawachangia sana

Sio kwamba tunakosa Uzalendo TTCL wamejikita mjini tu huku Goms Majohe hatuji vocha ziko wapi.ni mtandao wa kariakooi warekebishe mabando ya mtandao halafu waenee mpaka angalau mpaka chanika na tuangoma huko mbona wanapiga hela siku moja tu.
 
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!

Serikali haina haja y kufanya biashara . Jambo hili lilishandikana awamu ya kwanza. Kinachotakiwa serikali ikusanye kodi stahiki kwa wanaofanya biashara. TTCl inaomba 1.6 tril ili kuboresha huduma zake , hapo hapo inatoa gawio serikali. Haya ni maajabu y karne. Report y CAG shirika lipo ICU kifedha. Hii inatokea Tz tu. Huwezi kulazimisha watu kutumia ttcl, kinachotakiwa ni kuboresha huduma n kuvutia watu. Watumiaji wa simu sio wafanyakazi w serikali tu, na hatakama wanatumia ni kwa kiasi gani. Wafanyakazi mfano waalimu wako busy ni kufundisha hawa muda wa simu labda jioni akitoka kazi. Km Taifa hili lilishindikana hatuna haja y kurudi nyuma.
 
Kwani wamekwambia hiyo ndio strategy plan yao?plan yao ni wafanyakazi wa serikali watumie mtandao wa TTCL mwezi huu ukiisha.
Iseje kugeuka ikawa ninmoja yankigezo iliupate kazi serekalini lazima uwe na line ya TTCL. Mara na mkopo wa eleimu ya juu uwe na line ya TTCL. Ngachoka kabsaaaaa
 
WanaJF, Salaam!

Tukiamua kama taifa kwamba sasa shirika la TTCL liendelee na kuimarika inawezekana - njia pekee ni kuhakikisha kwamba watendaji wakuu Serikalini
(i). Wakuu wa Mikoa, Sekretarieti yake na familia zao,
(ii). Wakuu wa wilaya na familia zao,
(iii). Wakurugenzi wote na wakuu wake wa Idara na familia zao,
(iv). Mawaziri, Naibu, Makatibu Wakuu na familia zao,
(v). Wakuu wa shule, wakuu wa hosipitali,
(vi). Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma na familia zao,
(vii). Wakuu wa CCM na familia zao nk

Hawa wakitumia mtandao wa TTCL inakuwa na uhakika wa kukua kiuchumi.

Kazi ya TTCL iwe ni kuimarisha minara ya mawasiliano ili huduma hizo zipatikane maeneo yoye ya nchi kama ilivyo kwa Halotel.

Mtaka cha uvunguni!
Eti ndo akili za biashara hizi mlizofundishwa na kilaza mmoja jana😅😅
 
TTCL wanapatikana city centre tu,toka hapo nje ya mji sasa ujionee shughuli ya network yao.
Mkuu naamini huna line ya TTCL,try it,I believe you won't regret.Wewe nadhani you are talking history.Nakubaliana na wewe kwamba huko nyuma hawakuwa vizuri,but they are okay now.Let's support our network.Jivunie chako mkuu,mpenda vya watu ni mtumwa.
 
Back
Top Bottom