Recent content by Mudala

  1. Mudala

    Maisha ya Ulaya ni Magumu Sana Vijana Wenzangu tupambaneni kutafuta Pesa

    Bongo Kuna ugumu wake na afadhal yake iskie depression kwa mtu tu ila omba isikukute kiuhalisia ,ulaya ni tamu ukishakuwa na makaratsi kamili na lugha ikiwa ipo timamu . Wengi wetu hudhania kwamba ukifika tu ulaya umetusua bila kujua kule Kuna laws zake na mikakati maalumu na ni LAZIMA usugue...
  2. Mudala

    Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

    Tengeneza dunia yako peke yako ndo utaishi bila ya kuwepo muislamu ,mbaguzi mkubwa wewe
  3. Mudala

    Punyeto ni ushetani

    Mleta mada bado Yuko mapumzikoni apewe muda kidogo ,wengine walishakaa 20 yrs then kilichofuata .....
  4. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Hahaha Sasa asipohesabu na kuhakiki pesa zake atajuaje Kama imepungua ?
  5. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Anakaa ndani kuhakiki pesa zake yeye mwnyewe aliozitolea jasho Sasa kuhesabu pesa zake pia awekewe mipaka ? Haijalishi Kuna foleni kias gan hata yey alikuwa kwnye foleni akisubiria na yeye pia asubiriwe vileville mwenye haraka Sana ajenge ATM yake nyumbani kwake
  6. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Zikipungua akufuate wewe ?
  7. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Mtoa mada ndo wale wale washamba halafu wanijona wa mjini
  8. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Tena asubiri bila kubughudhi hawezi achongeshe ATM yake nyumban kwake
  9. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Sasaa Huyo mbongo kisabengo anajifanya anajua zaidi kuliko wafanyakaz wa benki hawajui Kama mashine nazo zina errors sometime
  10. Mudala

    Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Wãbongo wnajfanya wajuaji Sana ,kupungua pesa kwnye ATM inatokea sometimes . Niliwahi kwnda ATM Kuna kima mmoja kafupi kisa kamepewa gari la serikali kuendesha mwanaume mwenzake na mshahara wake wa laki sita kwa mwezi kikaanza kuleta porojo eti Kuna foleni wakati Huo huo mm pia nilisubiria...
  11. Mudala

    Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

    Juzi kati hapa nimekuta daftari la mtoto limefutwa jina langu limeandikwa la mwamba mwengine hayo yametokea baada ya ziara ya ghafla kwenda kumcheki dogo namuuliza mama mtu ananipa maneno yasioeleweka kichwani mwangu ... Hawa wanawake tuwaangalien tu aisee
  12. Mudala

    Diaspora Hawatoi connection?

    Ulikuwa nchi gn mkuu umerudi Lin?
  13. Mudala

    Maisha ya ughaibuni ni saratani inayowatafuna watu kwa kujifariji

    Waende Ila wajiandae na kila kitu Tabia ya wãbongo hawaamini Hadi yawatokee
Back
Top Bottom