Recent content by muchetz

  1. M

    Ni sawa na kifungo cha nje au mahabusu ya wazi kwa viongozi wote wa CHADEMA

    Hebu angali hiyo hukumu hata ingiza hii translation kwenye google halafu linganisha na hicho wanachosema. Au mimi sijui kusoma!!!
  2. M

    ccm hata wakishinda uchaguzi, maana watashinda, hali imekuwa mbaya reputation imechafuka kabisa

    Uko sawa ila hapo "maana watashinda" badilisha weka "maana watatangazwa washindi". Ni hilo tu
  3. M

    Vyombo vya habari vinaua CHADEMA kwa kuripoti wanaohama — asema Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA bara

    Mkuu nimesiliza speech yote, sijaona popote heche amesema vyombo vya habari vinaiua chadema.... unless ni intepretation yako
  4. M

    Kibatala kuhusu ya Boni Yai na Malisa...

    Unapoteza kumjibu huyo. Hata yeye ni kichekesho tu.. we furahi hia tu. halafu pita
  5. M

    PreGE2025 CCM Tumeamua Kumpa Mitano Tena Rais Samia

    Umeamua wewe na nani? Maana unasema tumeamua
  6. M

    Rais Samia anaweza kutoa mhadhara Chuo kikuu cha Havard au Yale Marekani na dunia nzima ikasimama

    Lakini wewe bwana!!! Sasa siku zote unasifiaaaaa weeeee huyo mama yako (kama kweli) lakini lazima utaje CHADEMA ili watu walau waingie kukusoma.. na unakula mvua za kutosha kabisa, ila huchoki..!!!!??$$##@**
  7. M

    Mbowe kung'ang'ania uenyekiti kutasababisha makada wengi wa chama kuondoka

    Mhhh. Hivi JK Nyerere alikuwa mwenyekiti wa CCM/( Na TANU kabla) kwa miaka mingapi?
  8. M

    Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar, Tuyaenzi kwa 4R za Rais Samia?, JMT Tuitendee Haki Zanzibar?, Tuwatendee Haki Wazanzibari? Mshindi Halali Apewe?

    Paskali nilikuuliza huko nyuma (labda kama kumbukumbu yangu haiko vizuri) maana naona huwa hutumii Dr. (Mara nying) kwa mheshimwa Rais wetu. Kwa ufahamu wangu kama mimi naitwa Juma Ali nikipita U Dr kwa kusoma naitwa Dr Juma Ali, ila nikipata wa heshima naitwa Juma Ali (Dr) inakuwa mwisho kwenye...
  9. M

    PreGE2025 Dkt. Dimwa ataka Katiba ya Zanzibar ibadilishwe ili Dr. Mwinyi atawale vipindi viwili vya miaka Saba badala ya Mitano

    Duh.... Na huyu bwana Dimwa naye ni Dr. kweli safari bado ndeeeefu sana
  10. M

    PreGE2025 Je, Siasa ni Ajira? Ni Kazi ya Mshahara au ni Kazi ya Kujitolea? Kwa Umasikini Wetu Huu Uliotopea, Ni Haki Kulipa Ruzuku kwa Vyama vya Siasa?

    Naona "point" yako... na tungeenda mbele zaidi hata mpaka kwa wabunge... Kwani ubunge unasomewa wapi? Kabla wakati, na baada ya ubunge si wakuwa na kazi/biashara zao> Kwanini mbunge asiwe tu anajitolea? Maana ni kazi ya kisiasa pia!!!
  11. M

    Rais Samia hapaswi kuitwa Daktari

    Nimesoma mahali mfano unaitwa Juma Shaban, kama ulipata kwa kusomea utaitwa Dr. Juma Shaban, lakini kama wa heshima utaitwa Juma Shaban (Dr) ili kuwa tofautisha..... hivyo haitakiwi kuanza na Dr kama hujasomea.. I stand to be corrected.
  12. M

    Serikali kuwabana zaidi waagizaji Magari yaliyotumika ili kulinda uzalishaji wa ndani

    Kwani nini usiweke kichwa cha habari kuwa "Watanzania kurudi kwenye enzi ya siasa ya ujamaa (Wa Mwalimu) ambapo gari ilikuwa anasa" ??
  13. M

    Manyara: Marekani yachagia mchango wa Dola laki moja kwa maafa ya Hanang

    Duh!!!! Umeandika makala ndeeeefu kuelezea mchango wa dola laki kutoka USA. Kweli uchawa kazi
Back
Top Bottom