Hizo data zimepatikanaje? Zamani zile wale wa 1980s kurudi nyuma kulikuwa na vituo vya kukusanyia maziwa- Dairy kila mkoa, Leo viko wapi? Vingekuwepo hivi walao kila kijiji ungeweza kusema hizo data zina uhalisia. Labda huko Iringa na Mbeya anakonunua Asas.
Wakati wa kampeni za JPM za 2020...
Mhe. Rais mwachie huyo mtu! Mshirikishe kwenye serikali yako ijayo kuunda mifumo mizuri ya kisheria ya nchi. Pamoja na utukutu wake anayo mema pia hasa ya kuonesha udhaifu wa mifumo yetu ili irekebishwe twende vyema kama nchi.
Milk is white Gold! Tuchangamkie fursa! Anaefahamu vizuri hili suala atueleze hivyo vituo vinajengwa wapi kwa maana ya kijiji au kata au wilaya gani? Andiko kama lipo tafadhali!
Dodoma vipo wapi? Mara vipo wapi?
Hili jambo liliizungumzwa tangu enzi za JPM; na wakati fulani PM Majaliwa akawa...
Dada ana haiba ya hali ya juu kuanzia ongea, mantiki ya anachoongea na namna anavyokiongea! postures! Kiongozi mzuri, TZ tuna hazina kubwa ya watu! Hana mideko! Kimsingi hata mimi nilijisemea si arudi nyumbani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.