wizi upo ila sio huo. ukizid kiwango wanasema ikiwa ivyo kuna namba za huduma kwa wateja 24hrs uliza watajieleza kabla hujawaza polisi. piga 100 au 15366
Siku ukishtaki tutakuchekaa. maana mi nimekua wakala wa voda miaka 5. hio ni netwek ambayo huwez mshtaki mtu. wiz ni kuambiwa ilikua 500,000 sasa ni 300,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.