Recent content by MU-ARSENAL

  1. MU-ARSENAL

    Mahari ni hiari au Lazima!

    Umeeleweka mkuu
  2. MU-ARSENAL

    Njoo ujifunze kitu kuhusu Sayari ya Jutiter (Jupita)

    Naomba kujua kuhusu hizi density za sayar zinapatikanaje na tunapodema 1.321g/cm3 ikoje hii mkuu
  3. MU-ARSENAL

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Watu kuzungumzia uchumi nk.. haimaanishi kwamba ndio watakuwana maisha mazuri.. Tatizo serikali imeeka VIPAUMBELE wapi na kweny nn ili uchumi wa nchi Ukue na kuongeza wigo mpana wa Ajira kwa hilo kundi kubwa la 98% ambalo unasema linaongea upuuzi tuu.. Kama serikali ime invest kweny Fitna...
  4. MU-ARSENAL

    Nauza kiwanja kipo morogoro

    Kipo magole estate nn mana bei barid sana
  5. MU-ARSENAL

    Utajiri wa gesi umepotelea wapi?

    Sasa iv tupo kwa NABII TITO mpaka wazir wa mambo ya ndan kamzungumzia daah Tanzania ni ya hovyo sana
  6. MU-ARSENAL

    Jeshi la Polisi na CCM, Mwenyekiti wa UVCCM ana haki gani kufanya mikutano nchi nzima ila upinzani wao majimboni tu?

    Kila kitu tukimwachia mungu tuu never haki haitapatikana ni kupambana tuu
  7. MU-ARSENAL

    RC Paul Makonda aahidi kuijengea nyumba familia ya Marehemu Athumani Hamis

    Bashite anachota tuu kwa matajir wa mjin kwa vitisho nyumba itajengwa bila yy kutoa senti
  8. MU-ARSENAL

    Dkt Mlundwa: Zitto atofautishe Uchumi na Uhasibu

    Akili za LUMUMBA huaga hazijifichagi[emoji778]
  9. MU-ARSENAL

    Dkt Mlundwa: Zitto atofautishe Uchumi na Uhasibu

    [emoji109] Umeeleweka mze baba
  10. MU-ARSENAL

    Rais Magufuli atia grisi kwenye uchumi; Kutoa bilioni 200 kulipa madeni ya wafanyakazi na watoa huduma wa ndani

    Maneno haya haya kila cku.. tutalipa madeni mpaka uhakiki ukiisha.. cjui kwa wale watumish wamesha hakikiwa mara ngapi mpaka sasa ili walipwe madeni yao.. Mi nashauri kwa hali ilivyo sasa ni kufanya vitendo zaid na sio Longo longo kama hizi za kuwatamanisha watu kuwa wanalipwa au miyeyusho tuu...
  11. MU-ARSENAL

    Nape Nnauye ufanye ulimi wako kuwa kiungo cha kujenga mshikamano katika chama na Serikali

    Atakuwa kakuelewa cc wasakatonge hatuna habar tunakimbizana na msalagambo wa kulainisha vyuma vilivo bana
  12. MU-ARSENAL

    Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan

    Bado mzee unaonekana ni Die hard wa Lumumba.. Mleta mada kaandika vitu ambavyo viko wazi.. Mjinga huwezielewa.. endelea kusema uchumi unakuwa wakat bado una unga unga maisha[emoji83]
Back
Top Bottom