Watu kuzungumzia uchumi nk.. haimaanishi kwamba ndio watakuwana maisha mazuri..
Tatizo serikali imeeka VIPAUMBELE wapi na kweny nn ili uchumi wa nchi Ukue na kuongeza wigo mpana wa Ajira kwa hilo kundi kubwa la 98% ambalo unasema linaongea upuuzi tuu..
Kama serikali ime invest kweny Fitna...
Maneno haya haya kila cku.. tutalipa madeni mpaka uhakiki ukiisha.. cjui kwa wale watumish wamesha hakikiwa mara ngapi mpaka sasa ili walipwe madeni yao..
Mi nashauri kwa hali ilivyo sasa ni kufanya vitendo zaid na sio Longo longo kama hizi za kuwatamanisha watu kuwa wanalipwa au miyeyusho tuu...
Bado mzee unaonekana ni Die hard wa Lumumba..
Mleta mada kaandika vitu ambavyo viko wazi..
Mjinga huwezielewa.. endelea kusema uchumi unakuwa wakat bado una unga unga maisha[emoji83]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.