Recent content by mtz one

  1. mtz one

    JamiiForums Tanzania Dunia ipo wakati mmbaya ila itaharibika zaidi kama mrengo wa kushoto (Leftists) watakuwa na control kubwa katika jamii.

    Kasome tena tofauti ya mrengo wa kushoto na kulia....
  2. mtz one

    JamiiForums Tanzania Mkalama: Wanakijiji wamsomea Tundu Lissu kero zao Jukwaani

    Katika vitu chadema mnafeli ni hapo... umeshindwa ku attach link ya video?
  3. mtz one

    JamiiForums Tanzania Millennials Generation ( Kizazi cha miaka ya 2000)

    Kusoma sana au kuwa na akili havihusiani na inclination ya nafsi. Hata hawa wa 2000 wapo vere sana darasani.
  4. mtz one

    JamiiForums Tanzania Millennials Generation ( Kizazi cha miaka ya 2000)

    Na ndo wanasumbua balaaaa.... watoto wa 2000 ni kwikwi
  5. mtz one

    JamiiForums Tanzania Millennials Generation ( Kizazi cha miaka ya 2000)

    Generation Z kwamba ndo generation ya mwisho ama?
  6. mtz one

    JamiiForums Tanzania FT: CRDB Bank Federation Cup 23/24 FINAL: Dak. 120 | Azam FC 0-0 Yanga SC | Pnt (5-6): New Amaan Complex 2/6/2024. Yanga abeba ubingwa

    Kama kweli Hersi anatoka na Hamisa nitamdharau sana
  7. mtz one

    JamiiForums Tanzania Kanye Ataka Mapenzi ya Utatu (Threesome) na Michelle Obama

    Huyo ni mweusi... hana tofauti na vichaa wa Tanzania
  8. mtz one

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kujua kazi halisi ya Mkuu wa Mkoa na uwezo wake

    Liwagu..... liwagu....koromije
  9. mtz one

    JamiiForums Tanzania Wasafiri msaada juu ya Mtanzania anayesafiri kwenye nchi zilizo katika orodha ya visa free

    Mkuu kwa kutokea huku bongo ile desk ya ndege/,uhamiaji hawakusumbui?
  10. mtz one

    JamiiForums Tanzania Wasafiri msaada juu ya Mtanzania anayesafiri kwenye nchi zilizo katika orodha ya visa free

    Hivi mkuu kaunta za bongo hawakusumbui kwenda hizo nchi bila visa?
Back
Top Bottom