Recent content by mtz one

  1. mtz one

    Wasafiri msaada juu ya Mtanzania anayesafiri kwenye nchi zilizo katika orodha ya visa free

    Mkuu kwa kutokea huku bongo ile desk ya ndege/,uhamiaji hawakusumbui?
  2. mtz one

    Wasafiri msaada juu ya Mtanzania anayesafiri kwenye nchi zilizo katika orodha ya visa free

    Hivi mkuu kaunta za bongo hawakusumbui kwenda hizo nchi bila visa?
  3. mtz one

    Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

    Watanzania amkeni mtalizwa...utapeli ni mwingi mno
  4. mtz one

    Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

    Kwani ni nyanya kwamba itaoza? Mi ntaaminije kama sio utapeli?
  5. mtz one

    Kwanini katika kundi kubwa la wanaume wa miaka 50+ wanaofariki na kupata maradhi ni wanywa pombe ?

    Unajifariji sana mlokole... hiyo ni kinyume chake wanywa sumu (soda) na masukari ndo mnaongoza kwa diabetes, BP na magonjwa ya moyo!
  6. mtz one

    Wapinzani msimwamini Dkt. Slaa

    Hamna kesi hapo.
  7. mtz one

    Wagner wakumbwa na matatizo ya hela, mishahara imekuwa tafrani

    Hahahaha we jamaa ni gaidi aisee... jeshi la mrusi vikosi vya chamazi, mbande, kisemvule mpaka mbezi louis lote umelizika ziiiiiiii
Back
Top Bottom