Recent content by Mtyama

  1. Mtyama

    CCM Kutawala Milele!

    Sidhani. Tumejaribu kujenga mazingira bora ya kisiasa tangu Uhuru na inaonekana tumeshindwa kujenga uwanja sawa wa kiushindani nchini tangu mapokeo ya mageuzi ya kisiasa duniani. Hatujachelewa bado, muhimu tuwe na dhamiri njema katika ujenzi wa taifa lenye kujali HAKI.
  2. Mtyama

    CCM Kutawala Milele!

    Ahead of BRICS, China’s Xi Jinping begins Africa visits By AT editor - 19 July 2018 at 5:14 am President Xi Jinping of China begins Thursday a trip that will bring him to Senegal and Rwanda for state visits, before he heads to South Africa and the BRICS Summit in Johannesburg. “The visits...
  3. Mtyama

    CCM Kutawala Milele!

    Shukurani kwa uchambuzi na kwa makala zako, Paschal.
  4. Mtyama

    CCM Kutawala Milele!

    Ndugu wanabodi, Salaam! Nianze kwa kusema kwamba, nawapenda sana Wachina na naipenda sana China. Kwa historia, China si tu rafiki zetu; kwa Taifa letu la Tanzania na Bara zima la Afrika, China ni ndugu zetu. Tufikirie pia kama nchi, Tanzania tulivyoipambania China hiyo miaka ya 1970s huko UN...
  5. Mtyama

    Wazee wenzangu wa kuruka majoka enzi hizo, tukutane hapa!

    Haikuwa kidogo, kiingilio kikikosekana walau unabaki nje ukisikilizia midundo na vionjo vingine vya nje na kuzurura from one theque to another..
  6. Mtyama

    Hapa ndio nimekubali maneno ya babu yetu wa taifa hayati JK Nyerere kwa CHADEMA

    Halafu hiyo 1995, Chadema kilikuwa bado chama kichanga. NCCR ndiyo walikuwa wapinzani wakubwa kwa CCM. Kwa Chadema aliwapa credit kubwa. Hii nchi ni yetu sote.
  7. Mtyama

    Salum Mwalimu: Kuugua na kulazwa ghafla kwa Mhe. John Heche

    Pole nyingi Kamanda Heche. Ugua pole kaka
  8. Mtyama

    Polepole: CCM kitakuwa chama cha maskini na wanyonge - Bashe: Umaskini sio sifa

    Japo ya Uchadema wangu, vyema nikamsaidia ndugu yetu Polepole kuwa wajitahidi CCM kiwe chama cha kusaidia wananchi kuondokana na umasikini na unyonge
  9. Mtyama

    Ugumu wa Maisha:Benki kuu mshaurini Mkuu wa nchi aachie fedha ("kitita","Mzigo","Mpunga")

    Urais kama Taasisi haiwezi kuwa ni maamuzi yaliyotokana na ushauri au kazi za Rais peke yake. Ndiyo maana Rais ana wataalamu wa kumshauri karibu kila sekta hadi kwa familia yake. Muhimu Taasisi zote hizi zikafanya kazi vyema na kwa weledi wa kutosha ili kama Taifa tukasonga.
  10. Mtyama

    Ugumu wa Maisha:Benki kuu mshaurini Mkuu wa nchi aachie fedha ("kitita","Mzigo","Mpunga")

    Maelezo mazuri, kweli Benki Kuu na Wizara ya Fedha ina nafasi kubwa kumsaidia Rais katika hali hii inayoonekana dhahiri kuwa ni 'Financial Crunch'. Tusubiri takwimu sahihi kutoka hizi Taasisi zetu ila ni vyema wakajitahidi kutumia vyema dhamana walizopewa kumsaidia Rais, iwe kupitia Open Market...
  11. Mtyama

    Iboreshwe kwanza TTCL kabla ya ATCL

    TTCL inahitaji management makini ya kiushindani na makampuni makubwa duniani.
  12. Mtyama

    Iboreshwe kwanza TTCL kabla ya ATCL

    Duh! My typos
  13. Mtyama

    Iboreshwe kwanza TTCL kabla ya ATCL

    Wazo la msingi japo ni vyema kwenda kwa pamoja japo kwa TTCL yamepaki mambo machache ya 'shrewd corporate management' kwa ushindani na makampuni makubwa ya Telecoms duniani.
  14. Mtyama

    Hatimaye Dr. Slaa aonekana, asema kuzungumza muda ukifika

    Dr Slaa, kama mitandao mingi ya kijamii na magazeti kadhaa yasiyotupenda UKAWA yalivyokuwa yaki-speculate. Dr Slaa si mtu wa kutelekeza mabadiliko ambayo umma wa Watanzania wanayataka. Si muda mrefu, Dr wetu wa ukweli ambaye alikuwa mapumzikoni ataungana na wenzake katika kuleta mabadiliko...
  15. Mtyama

    Tanzania Opposition Lawmaker Demands Credible Elections

    Tanzania Opposition Lawmaker Demands Credible Elections Peter Clottey Last updated on: August 01, 2015 A prominent Tanzanian opposition lawmaker has called on the National Electoral Commission to implement new and improved measures to ensure the October general election is free, fair...
Back
Top Bottom