Wanahoji hayo kwa kukosa ukweli coz ccm wameficha ukweli mikataba hyo ya gas haina manufaA kwa watanzania Wa kawaida zaid ya makampun makubwa ya kimarekan na kichina pamoja na waliopisha mikataba hyo na familia,tusubiri siku tanesco na mbuga za wanyama znapobinafsishwa kwa wamarekan
Danganya toto, hyo mikataba INA mapungufu makubwa sana ndo maana wabunge wa upinzani walisusia kushiriki uozo Wa mikataba hyo ccm mkaipitisha kibabe,low as a syo ccm tena na atafanya makubwa ndan ya ukawa,
Hafai kwa sababu ya maamuzi yake ya kukurupuka yalolitia hasara taifa,fisadi kwa mujibu Wa report ya cag,kauza nyumba za taifa,mikataba mibavu ya barabara,barabara chin ya kiwango,ubabe ktk ndoa na siasa,anatetea mambo ya kijinga kama safari za rais,hasikiliz ushauri,amekaa ktk chama fisad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.