[emoji2][emoji2] tofautisha mtu kulalamika na kusema ukweli. Kwa mtizamo wako
1-Ni Sahihi polisi kumnyima dhamana raia?
2- Ni sahihi polisi kumkamata mtu bila kosa?
3- Ni sahihi polisi kujichukulia kazi za mahakama?
Polisi wanatumwa na baadhi ya viongozi ambao tupo na wao. Nadhani tuanze kuwalaumu viongozi wa kiserikali tukianza na mkuu wa usalama au ulinzi wa mkoa ambaye ni mkuu wa mkoa. Then baada ya hapo tuje kwa mkuu wa Wilaya. Ni upumbavu uliopitiliza endapo mtazidi kufanya aina ya tabia mnayoonesha...
Hii ndo mbaya zaidi ataumia zaidi na zaidi maana anaweza kuwa forced na family lakini kwako ikawa balaa. Akubali tu yaliyotokea maisha yaendelee na yeye atampata anaye mpenda kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.