Recent content by mtunyeni

  1. M

    Kuhusu maumivu ya uume wakati wa tendo la ndoa

    Jamani mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 hivi karibuni nimekumbwa na tatizo la kutokwa na michubuko sehemu ya juu ya uume hasa mule ambamo nilishonwa baada ya kutahiliwa . Hata nikivaa kondom bado hiyo hali inatokea, mwenye utaalam na hili tatizo anisaidie wadau. Nimetahiliwa miaka 14...
  2. M

    Natafuta Kampuni Nitakayofanyia Field Kwa Morogoro

    Mimi ni msichana niliyezaliwa mkoa wa Morogoro nipo Iringa Chuo nasoma Mambo ya Biasha, kwa mwenye ndugu, jamaa hata rafiki au binafsi anayemiliki kampuni yoyote ya biashara mkoa wa Morogoro anisaidie hata namba za mmliki au jina la kampuni ili niweze kuomba kufanya fild.
  3. M

    msaada kwa anayeijua mgugu secondary schoo

    Ise hv ninapotoa comment npo ndan ya mgugu mwambie akaribie sn huyo mtoto ukwel n shule nzr kimazingra na hata wanafunzi wake weng n wazur kitaaluma n tofauti kabsa shule za kata inategemea na akili ya mtoto mwenyewe ucogope juu ya kashfa za uchawi n imani 2 ya m2 kama ndivyo uchawi upo kote...
  4. M

    Mwalimu wa Mathematics, History na Geography wanatakiwa.

    Dip kutoka chuo cha ualimu Morogoro History, English contact ni 0714930329.
  5. M

    Msaada kwa wale wanaotumia kin'gamuzu cha zuku.

    Asante kwa hoja na mawazo mazur co siri wanaboa sna hawa zuku tujaribu kuwapigia huenda wakaboresha huduma.
  6. M

    Msaada kwa wale wanaotumia kin'gamuzu cha zuku.

    Jaman hv zuku huwa hawana chanel zinazoweza kurusha mipira ya nje kama vile klabu bingwa UEFA?.
  7. M

    Naomba mnisaidie ndugu zagu.

    Ninatatizo kila nikienda toilet kutoa haja kubwa ninapojikamua haja ndogo hutoka na shahawa,je ni tatizo gani hili,na nifanye nini?.
  8. M

    Niangalizieni Idrisa Isa Halifa. Kwa waliochaguliwa Ualimu..

    Ndugu nisaidie kunicheck Herson chilongola (diploma)chuo gani?
  9. M

    Walimu wa vyuo wafeli mitihani vibaya

    2mia akili ww ucongee 2 kama unajifunza kuongea sio wote wanafel kwa kutokusome huwez jua ni magumu yepi yaliyotokea.bado hujafika apo ulipo na wala hujafaulu maisha roho mbaya tu.
  10. M

    Naomba mnijuze kuhusu TCU.

    Jaman wapendwa vp tcu wanaendelea kutoa huduma ya kuomba vyuo kwa awamu nyingne?
  11. M

    Jamani hivi ni kweli loan board wameshafunga application?

    Kunatetesi kwamba mwisho wa kuomba mkopo ilikua ni tarehe 31-7 jamani naomba ukweli juu ya hili kwani nahitaji kuomba mkopo!.
  12. M

    Swali lahitaji msaada.

    Wadau eti Bwanjai ni mji wa kihistoria uliopo mkoa gani?.
  13. M

    Naomba msaada ndugu waungwana.

    Wapendwa kuna tatizo ambalo linanifanya nikose aman"nikila ninapotoka kufanya mapenzi na mwenza wangu najiskia maumivu na kupata michubuko sehemu ya mbele ya uume hasa pale nlipokuwa nimeshonwa baada ya kutailiwa na nilitailiwa miaka 20iliyopita nn tatizo wataalamu wangu?.
  14. M

    Naomba msaada ndugu waungwana.

    Wapendwa kuna tatizo ambalo linanifanya nikose aman"nikila ninapoka kufanya mapenzi na mwenza wangu najiskia maumivu na kupata michubuko sehemu ya mbele ya uume hasa pale nlipokuwa nimeshonwa baada ya kutailiwa na nilitailiwa miaka 20iliyopita nn tatizo wataalamu wangu?.
  15. M

    Mawazo yako ni muhimu sana juu ya hili ndugu mdau!

    Kuna uvumi kwamba baadhi ya miti inaweza kukuza uume hasa baada ya kujichanja na kupaka maji/utomvu wake(mfano kuna mti unaitwa muegea)je ni kweli?naomba mawazo yenu na ukweli juu ya hili.
Back
Top Bottom