Acha nikushobokee
ndo ukereke
nimepata mumama
mwenye tukunyema
Tena mchokoleti ka maua sama
mwana mtindo ka sepetu wema
mpole ka fahima
na ananitunza vyema
Na hii hali ngumu ya uchumi
hao masela wakilia njaa na vumbi
me nalelewa sisumbuki
kila siku nala mishikaki
Napendwa kila kitu...
Nyie mnajua mbona nimekuwa mtumwa wa umarioo? Nilitendwa mara kadhaa na hawa vibinti vidogo vidogo mpaka suruali zangu zote zilikuwa zinanipwaya!!! Sikuhizi nkikaribia kukutana nao nasepa kisa wananipa kichefuchefu mno!!! Lakini Mungu ni mwema niliangukia mumama ana pepo ya upwiru baada ya lisaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.