Recent content by Mtumwa wa Umarioo

  1. Mtumwa wa Umarioo

    Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

    Acha nikushobokee ndo ukereke nimepata mumama mwenye tukunyema Tena mchokoleti ka maua sama mwana mtindo ka sepetu wema mpole ka fahima na ananitunza vyema Na hii hali ngumu ya uchumi hao masela wakilia njaa na vumbi me nalelewa sisumbuki kila siku nala mishikaki Napendwa kila kitu...
  2. Mtumwa wa Umarioo

    Fangasi sugu sehemu za siri

    Pole ila kama we ni kicheche nenda ujipime
  3. Mtumwa wa Umarioo

    Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

    Nyie mnajua mbona nimekuwa mtumwa wa umarioo? Nilitendwa mara kadhaa na hawa vibinti vidogo vidogo mpaka suruali zangu zote zilikuwa zinanipwaya!!! Sikuhizi nkikaribia kukutana nao nasepa kisa wananipa kichefuchefu mno!!! Lakini Mungu ni mwema niliangukia mumama ana pepo ya upwiru baada ya lisaa...
  4. Mtumwa wa Umarioo

    Dar: Polisi wamsaka Mganga aliyelewesha Watu 16 wa familia moja kisha kuwaibia

    Karibu dar mji ya wakora. Ongezeni bei ya unga matapeli waongezeke
  5. Mtumwa wa Umarioo

    Joto kali laporomosha soko la wanawake vibonge. Vimbaumbau wanapeta.

    Ila hao tipwatipwa usidhubutu kuwajegeja doggystyle msimu wa kuvuna maharage
Back
Top Bottom