Mkuu gharama zinatofautiana kulingana na upatikanaji wa rasilimali na eneo ambalo mtu amaeamua kulima heka moja kwa laki 2 ni kadirio dogo sana assumption kukodi shamba heka moja ni 50,000/=, kusafisha likae tayar kwa kulima (kukatia mafukutu) 30000, dawa za kuua magugu na upuliziaji 40000...
Uza uji maeneo ya sokoni asubuhi na jioni , location inategemea na ukaribu ulipo manzese, tandika , mabibo, k.koo n.k utakuwa na uhakika wa kufunga 10k -15k kwa siku kama faida , utakuja kunishukuru baadae!
Ushauri wangu ingia shamba mkuu , kawekeshe mahindi huko kwa wakulima kabla ya mavuno gunia Moja la mahindi kwa Sasa ni elfu 40 -50 kwa maeneo mengi baadae wakivuna mwezi wa 6 hiv ukihifadhi kidogo tu unauweza kuuza gunia Moja minimum kwa elfu 70 - 100k , so Kuna uwezekano wa kupata faida kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.