Papaa Gx nimefika.
Ahsantee Kwa wito.
Naungana na wewe kuwa afanye kilimo Cha bustani (umwagiliaji).
Aingie Kwa kumaanisha at least basi aanze na heka ya nyanya.
Vitu vya msingi
Awe mzoefu au ajiri wazoefu wa kazi hii hasa nyanya.
Awe mchapakazi haswa namanisha auhusike 100% yeye na watu wake. Asiwaachie vibarua!
Mtaji wake unatosha kwa heka1 ya nyanya
Azingatie matumizi sahihi ya mbolea na madawa hapa ndo pa mhimuki zaidi maana.
Mbegu Bora.:Mkuu hapa ukiamua nicheki inbox nikuelekeze wapi utapata mbegu nzuri ya nyanya.
KWanini nimeshauri awe na heka ya nyanya hii ni Kwa sababu ya soko hakuna mfanyabiashara mkubwa ataleta gari lake kwenye shamba kidogo hayupo matokeo yake utauzia hao wamama wa magenge tu hao hutaona faida.
Saivi nyanya inatafuta sana na waganda wanywaranda nk wanakuja Hadi shambani Mimi kama mkulima ndie naye kwambia maana ndo wateja wangu.
Nadhani niishie hapa kama unaswali karibu
Kinumbo