Recent content by mtumishi2018

  1. M

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Hapa ni zone mbili tofauti northern na lakezone ukiweka plant kwa kila zone ni hasara kubwa
  2. M

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Ni kama mzigo wa tani 2 unakodi gari ya tani 48 kuubeba
  3. M

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Jamana walijaribu lake zone wakaishia kufunga ofisi
  4. M

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Lazima zirudi siku hiyohiyo, kuna magazeri yaliyobaki baada ya kuuzwa lazima yarudishwe dar
  5. M

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Unaposikia gari inapeleka magazeti mbeya ina vituo vingu sana. Chalinze, moro, mikumi, mahenge, ilula, ir nk mpaka mby.
  6. M

    Marangu coach Arusha-dar, poor customer service

    Hawa jamaa wahudumu wao ni hovyo kabisa. Toka july 2019 niliapa sitakuja kutumia kampuni hii iwe kusafiri au kumsafirisha mtu. Pole sana mkuu
  7. M

    ZUKU kwakweli ni majanga

    Utamuuzia nani hakiuziki. Zuku ni majanga nafikiria kukigawa bure niondoe kero
  8. M

    Wataalamu wa mchezo wa draft tu:Je mwenye nyekundu anaweza kwepa kufungwa supa hapo?

    Anatema ya mbele kisha anaanza nyuma ukihesabu michezo ananafasi ya kupita na kupata droo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Safari ya kurudi dar hiyo

    Ahahaaa utawaona kesho watakavyotoka povu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Ukikutana nae huyu mida ya Saa nane au saba usiku...

    Mbona ni kama nduguyake na pale ulipokuwa unakunywa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom