the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,611
- 7,048
.
Tatizo watu wanadhani wana options ambazo hizo kampuni hawajafikiria.
Kumbe ni kampuni ya Mwananchi? Kuna kijana alikuaga mteja wangu ni dereva wa hayo magari ya magazeti Dar-Mbeya. Naomba Mungu asiwe ni yeye aisee
Kuna kijana wa mtaani kwetu ndio huwa anaendeshaga sana hiyo T 249 DWT, nilivyoona imepata ajali nikashtuka sana, nikacheki nae chap kwenye simu kuona kama anapatikana. Kumbe siku ya tukio alibadilishwa, dereva hakua yeyeKumbe ni kampuni ya Mwananchi? Kuna kijana alikuaga mteja wangu ni dereva wa hayo magari ya magazeti Dar-Mbeya. Naomba Mungu asiwe ni yeye aisee
Mungu ni mwema wakati wake haukufika.Kuna kijana wa mtaani kwetu ndio huwa anaendeshaga sana hiyo T 249 DWT, nilivyoona imepata ajali nikashtuka sana, nikacheki nae chap kwenye simu kuona kama anapatikana. Kumbe siku ya tukio alibadilishwa, dereva hakua yeye
Kabisa. Kama hutojali nikutumie pm picha ya dereva aliefariki kwenye hiyo ajali uone kama ndio huyo aliekuaga mteja wakoMungu ni mwema wakati wake haukufika.
Wafanyabiashara wa kibongo hao mzungu hawezi fanya upuuzi wa kusafirisha magazeti more than 2000KMS kila siku!Wafanyabiashara siku zote wanataka faida kubwa bila kujali sana maslahi ya watu wengine ndio maana lazima wapigiwe kelele.
Mwananchi wanapaswa kuwa na printing machine za magazeti Mbeya, Arusha na Mwanza.
Niamini mimi,zilikua Isuzu pickup,gia sita spidi 240 kama hilux D4D,jamaa akikanyaga gia rotation inafika sita ndio anachange ingine,spidi yao ni hatari mnooo nimepanda zaidi ya mara 10,cha pekee zaidi jamaa wanajua kutunza mafuta aisee diesel wanaiuza inayobaki ndio wanatembelea gia namba 5 na 6 tuuu
Kwani zinachapishwa na mashine za mbinguni!!??mkuu wewe unazijua mashine za kuchapa magazeti au unaongea tu??
Mswahili hana akili hiyo Kaka. Wanatumia sana hizo Hiace na NoahIfikie mahala jamaa wangebadili mfumo tu kusafirisha gazeti kwenye hiace sio safe kabisa. Bora hata wangenunua wagons za kijerumani au gari za chini ambazo ziko stable zaidi with powerful engines!
Imagine karne hii ya 21 alafu tunajisifu kuwa tumeendelea!hivi haiwezekani kuweka printing house mfano Mbeya ikawa inaprint kwaajili ya mikoa ya kanda ya juu kusini? au mtaji wake ni ghari sana? haiwezekani hadi leo hii tutegemee gazeti litoke Dar ndo lije hapa Mbeya tena kwa kuchelewa.
Mara mia hata Noah aisee! Hiace ni hatari zaidi!Mswahili hana akili hiyo Kaka. Wanatumia sana hizo Hiace na Noah
Ni kama mzigo wa tani 2 unakodi gari ya tani 48 kuubebaImagine karne hii ya 21 alafu tunajisifu kuwa tumeendelea!
haya majibu yanaonesha haujui..?Kwani zinachapishwa na mashine za mbinguni!!??
Kama huna roho usipande au ukipanda kunywa dawa za usingiziNilishaapa sitakaa nipande magari ya magazeti
Waungane wachange wanunue printer waweke KILA mmoja,dar ofisi za edit kwingine kote huko ni kufyatua tu kopi.Mkuu waambie njia mpya wapate kujua