Recent content by Mtumishi wa Kristo

  1. Mtumishi wa Kristo

    GE2020 Video: Zungu awaambia wanafunzi wampigie kura Magufuli

    2 Samweli 2:12 , Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua. Mungu hadhihakiwi atawafichua tu hawa wahuni wote.
  2. Mtumishi wa Kristo

    TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

    UMUHIMU WA KUJIWEKA TAYARI Mahubiri ya Neno la Uzima - Na Mtumishi wa Mungu Askofu Mkuu Zachary Kakobe Tovuti : www.bishopzacharykakobe.org Facebook : www.facebook.com/bishopkakobeministries Youtube : www.youtube.com/user/bishopkakobe SOMO: UMUHIMU WA KUJIWEKA TAYARI Leo, tunajifunza...
  3. Mtumishi wa Kristo

    Jehanum ya Moto ni wapi na Kukoje?

    Somo: Jehanum ya Moto ni wapi na Ku​koje? Miaka ipatayo thelathini iliyopita nilikuwa nimezama sana katika dhambi. Nikiwa katika lindi hilo la dhambi, sikutaka kusikia chochote kwa mtu yeyote aliyenieleza kwamba niache dhambi, na eti niokoke. Niliwaona watu wanaohubiri mambo ya kuokoka...
  4. Mtumishi wa Kristo

    Hivi ni haki kuhubiri hovyo hovyo kwenye mabasi ya umma?

    JEHANAMUYA MOTO NI WAPI NA KUKOJE Miakailiyopita, nilikuwa nimezama sana katika dhambi. Nilipokuwakatika lindi hilo la dhambi, sikutaka kusikia chochote kwa mtu yeyotealiyenieleza kwamba niache dhambi, na eti niokoke. Niliwaona watuwanaohubiri mambo ya kuokoka, wameshindwa maisha...
  5. Mtumishi wa Kristo

    Moses Kulola, Askofu Mkuu wa Makanisa ya EAGT afariki dunia

    Ndugu acha uongo wa mchana kweupe, Mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe mara nyingi amesema sana kuwa yeye ni mtoto wa kiroho wa Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola. Mara kadhaa Askofu Kulola ameshaenda katika kanisa analolichunga Askofu Kakobe MWenge, moja kati ya hizo safari, Askofu Kakobe na...
  6. Mtumishi wa Kristo

    TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

    Ndugu zangu tusidanganyike tunahitaji kuandaa maisha yetu wakati tuko hai na sio kusubiri sala za watu wakati tayari tumeshakufa, baada ya kufa kinachofuata ni HUKUMU (Waebrania 9:27) tu,hakuna sala yoyote itakayotusaidia baada ya kufa, kama tumekufa katika dhambi . 1 Wakorintho 6:9 ...
  7. Mtumishi wa Kristo

    The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

    Mwendakulima, ingekuwa vizuri na wewe pia ukaenda ili iwe rahisi na wewe pia kuripoti na kujionea kwa macho yako, ili ijulikane ukweli ni upi na uongo ni upi , badala ya kusikia tena kwa watu wengine. kathibitishe mwenyewe. halafu uje na taarifa hapa jamvini
  8. Mtumishi wa Kristo

    The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

    Ndugu yangu umeuliza swali na umejibiwa na evidences halafu, tatizo liko wapi au kuwa muumini wa kanisa ambalo mtumishi wa Mungu anahubiri watu kuacha dhambi imekuwa kosa? hii inadhihirisha ni roho ya ibilisi inayotenda kazi ndani yako, Kama Bwana Yesu alivyosema pale msalabani Mungu akusamehe...
Back
Top Bottom