Wakuu habari zenu poleni na majukumu.
Ningependa niulize hivi uhamisho kwa mwanafunzi anayeenda kuanza kidato cha kwanza ingefaa nifanye mchakato kwa mda Gani je huu ndo mda wa kufuatilia wakati bado hawajapangiwa shule? Je kuna haja niende hiyo shule ninayotaka ihamie?
Kwa mda huu au...
Wadau natanguliza shukrani kwa yeyote aliejitolea kunipa mda wake na uelewa wake kuhusu swali langu apo juu,
Wadau naombeni ushauri Pia msaada kwamba kuna mwanafunzi amemaliza la saba mwaka huu na amefaulu na nataka nimhamishie shule za sekondari za mkoa wa tanga Au Kilimanjaro je process zipi...
Tatizo la sisi waafrica tunajaza mzigo kichwan na vyeti kwenye mafail bila kutumia tulicho nacho akilin kwa kujiendelezea fikiria ulicho nacho badala ufikirie ugundue Nini kupitia Elimu iyo tofauti n mwingine tunangangana ushindani wa kuongeza vyeti life is co short ishi kwa gepu nakushauri tu...
Wadau kwanza nawasalimu kwa upendo wa mungu nina matumaini wazima wa Afya.
Bila shaka Nina matumaini apa nko mahali sahihi ya watu wenye uelewa tofauti tofauti ila nina imani nikikutanisha mawazo yao nitapata wazo la kuifanyia kazi
Ninaombeni kwa mwenye uelewa Kama kichwa kinavyojieleza Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.