Recent content by Mtuflani Official

  1. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Je, Data za Hotuba za Viongozi huwa zinapikwa?

    Mhe. Hussein Bashe naomba ufafanuzi kidogo kama hautojali. Kwenye hotuba yako ya bajeti umesema kilimo kilizalisha ajira 475,025 mwaka 2023/24. 1. Unaweza kutusaidia ufafanuzi namna hizi ajira zilivyozalishwa na njia uliyotumia kufahamu kwamba kweli idadi hii ilizalishwa? 2. Kama sekta ya...
  2. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Tanzania namba 3 Afrika kwa kuwa na wafanyakazi wenye "Stress" sana

    Serikali zetu zinatusaliti. Huwezi kutoa vibali kwa kazi ambazo watu wako wanaweza fanya.
  3. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

    Lete ushahidi Mkuu.
  4. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

    Mimi nadhani wanafanya hivi ili wapige hela kwa kisingizio cha matengenezo.
  5. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Mkuu watu wasio na uelewa wapo kila nchi. Hii nchi yenu tunakwamishwa na serikali yetu.
  6. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Utakua mjinga sana ukijenga hoja yako kwa mlengo huo.
  7. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Utakua mjinga sana ukijenga hoja yako kwa mlengo huo.
  8. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Wewe unaona ni sahihi Mchina kupewa mgodi kwa Tshs. 200 million wakati kuna Mtanzania huo mtaji anao. Wewe unaona ni sahihi mgeni kupewa “Managerial” position kwenye kampuni ndani ya nchi yetu wakati Watanzania kibao wana ujuzi. Sisi tuna uchungu na hii nchi na tunajua inapigwa vipi!
  9. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Soma tena kwa umakini.
  10. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

    Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji...
  11. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina, wametapakaa kila kona ya hii nchi

    Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji...
  12. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Niliyoyaona leo nilipokwenda kusambaza barua za internship

    Mungu akutangulie dogo. Pambana!
  13. Mtuflani Official

    JamiiForums Tanzania Niliyoyaona leo nilipokwenda kusambaza barua za internship

    Fanya usogee DSM usambaze barua.
Back
Top Bottom